dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,758
- 3,199
Unakumbuka usemi wa babu yenu lakini?
Ukianza kula nyama, hutaacha. Achanae kutengana, muungane muwe kitu kimoja ili mjemge familia yenu.
Mkae chini myange, ila mnavomdharau mama yenu na yeye anaona nyinyi hamna maana, ataziuza zote mpaka ziishe. Mkikaa mkatulia na kuyajenga naye hawezi zimaliza maana.
Mimi najua mali mnazo nyingi, hawez kuzimaliza, na muda wake sio mrefu, atawaachia za kuendelea kutesa. Mpaka wajukuu zenu
Ukianza kula nyama, hutaacha. Achanae kutengana, muungane muwe kitu kimoja ili mjemge familia yenu.
Mkae chini myange, ila mnavomdharau mama yenu na yeye anaona nyinyi hamna maana, ataziuza zote mpaka ziishe. Mkikaa mkatulia na kuyajenga naye hawezi zimaliza maana.
Mimi najua mali mnazo nyingi, hawez kuzimaliza, na muda wake sio mrefu, atawaachia za kuendelea kutesa. Mpaka wajukuu zenu