Naombeni ushauri: Mama wa kambo anauza mali za baba

Naombeni ushauri: Mama wa kambo anauza mali za baba

Unakumbuka usemi wa babu yenu lakini?

Ukianza kula nyama, hutaacha. Achanae kutengana, muungane muwe kitu kimoja ili mjemge familia yenu.

Mkae chini myange, ila mnavomdharau mama yenu na yeye anaona nyinyi hamna maana, ataziuza zote mpaka ziishe. Mkikaa mkatulia na kuyajenga naye hawezi zimaliza maana.

Mimi najua mali mnazo nyingi, hawez kuzimaliza, na muda wake sio mrefu, atawaachia za kuendelea kutesa. Mpaka wajukuu zenu
 
Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.

Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.

Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.

Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.

Naombeni ushauri tufanye nini?
Kwani harogeki?
 
Nijuavyo mm, Mali ya ukoo haiuzwi.

Wanaonunua wanaingizwa mkenge.
 
huyo mama yako wa kambo ni Mkojani wa meli kumi njia ya Mkokotoni inayo pitia Bububu?

kama nampata hivi!!!!

wewe ndie mjukuu wa mzee Mwakatanganyika Mzanaki aliyerudisha mali za ukoo kutoka kwa yule
binti mrembo na tajiri wa ukoo wa bepari Windsor?

nimekupata ovaaaaaaa!
 
Daa mkuu huyo mama yenu mzenji,basi mmeisha atauza kila kitu kisha atakimbilia kwaoo zenjiii[emoji23][emoji23]
 
Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.

Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.

Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.

Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.

Naombeni ushauri tufanye nini?
Una maanisha Baba yako ni Magofuni na kaka zake baba yako walio hai ni Kiwembe na Mvinywi? na Mama yako wa Kambo ndio Huyu aliyeko sasa. wanaonunua Mali zenu ni pantoja na waarabu? Sasa fanya hivi hapo mama yako wa kambo na yeye anapelekwa pelekwa tu na hao ndgu za babako. Hizo mali zotauzwa tu labda umuue hyo ndgu mmoja yaan kiwembe. Bila kufa huyu mji wenu hautakaa utulie.
 
pia usisahau kama ni ardhi kuwekea caveat hizo nyumba/ardhi.

Kimbia kwa mwanasheria leo au kesho asubuhi. la sivyo.
Caveat ,hebu ieleze kwa urefu,unaweka vipi,na wapi,na inachukuwa mda gani kuwepo?Na inasaidi nini na vipi
 
Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.

Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.

Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.

Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.

Naombeni ushauri tufanye nini?
Huwa Kuna kikao Cha familia Cha kutengua msimamizi wa mirathi.
Waone wanasheria

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom