Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi ikiisha huyo mwanamke, apigwe chiniKwa hii comment naomba niseme tu kwamba hauna mke hapo.
Ebu angalia namna ya kumaliza hiyo kesi na kisha usonge mbele.
By the way, hakunaga kesi ya mke kugombana na mume
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nawe umeleta utani kazini Tena[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umecheat au kajua plans zako za kuongeza mke wa pili? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inamaana ni mwanaume mwenzio na sio mke?True
Mmmh shauri zingine bwana!! Hadi zinakera....asa sumu imekujaje hapo, yeye kasema waligombana hujui ugomvi ulikuwa mkubwa namna gani, hujui wakati mtoa mada anampiga alimpiga kwa tahadhari ya kutokumuumiza au alikuwa anapiga liwalo na liwe? Afe, abaki salama, aumie atajua mwenyewe mwenzie kaenda polisi kushtaki we unasema habari za kumuua na sumuKama ameweza kukupeleka police, hata kukuwekea sumu kwenye chakula anaweza.. Ingebid muyamalize nyie wenyewe , na msameheane.
Kisa cha kuambiwa huna mke na wewe unakubali ni nini sasa! Kwani magomvi hayatokeagi na watu wakafikishana mbali na wakarudi wakasameheana tena! Mbona we ulimpiga kiasi cha kwenda kutibiwa na kwao? Na yeye akiambiwa hana mume hapo je?Hapana Ni mwanamke anamiliki K kabisa!
Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtamaKisa cha kuambiwa huna mke na wewe unakubali ni nini sasa! Kwani magomvi hayatokeagi na watu wakafikishana mbali na wakarudi wakasameheana tena! Mbona we ulimpiga kiasi cha kwenda kutibiwa na kwao? Na yeye akiambiwa hana mume hapo je?
Hata wewe unaweza kuwa sio mume sasa! Kaeni myamalize labda ni wapenzi tu sio wanandoa.......hamna cha kupotezaBaada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama
Ndio japo mwera wananitafta nimewaambia nimesafiri ili niende j3 naogopa wakinidaka leo Hadi j3 sero no hatari na nasikia katembeza pesa hapo kituo Cha police
Mkeo ulimpiga kama mwivi?Kifamilia imeshindikana kwani alienda kwao baada ya kuuguzwa na wazazi wangu,inaonekana ameshinikizwa ili kunikomoa tu
Mke mmoja anamuendesha puta.
Wahuni wawili wamekutana. Umesikia mke alikuwa anauguzwa, hapo nani anayetaka kumtoa roho mwenzie?Huyo hafai kuitwa mke, ni muhuni flani hivi ambaye ameshakuchoka na ukiendelea nae atakuja kukutoa roho
Why hana mke na huku amekiri kampga? Mke anaye sema mke hana mumeKwa hii comment naomba niseme tu kwamba hauna mke hapo.
Ebu angalia namna ya kumaliza hiyo kesi na kisha usonge mbele.
By the way, hakunaga kesi ya mke kugombana na mume
Dah mkuu inamana hilo shoka lingetua kichwani tungekuwa tumempoteza mwana JF mwenzetu inasikitisha sana, uyo mkeo mchunguze siwez kwambia uachane nae mana mapenzi ni ya wawili ila kuwa nae makini sanaBaada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama