Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Inaonekana Bakhressa akiomba kwako atapata!
ANGEKUWA BKHRESSA JE MNGESEMAJE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ANGEKUWA BKHRESSA JE MNGESEMAJE?
Jamani jamano! Unataka kusema bibi wa 68 years atawashwa mpaka akagawe uroda vichakani🙆♀️Maandalizi ya kifo ni kwa kila rika, hakuna rika la kifo. Wapo watu wanaishi miaka 95 na wengine 30. Kila mtu anapaswa kujiandaa, na kujiandaa huko ni pamoja na kutafuta sitara ya ndoa baadala ya kugawa uroda vichochoroni.
NonsenseHautakuwa sahihi kuingilia hiyo hali mkuu,vipi kama mama angefariki yeye na mzee akaleta mama mwingine hapo ndani, nayo ungefanyaje...?
Unazijua nyege au unazisikia? Subiri ufikishe miaka 70 kama utakuwa huna nyege labda uwe na kisukari au bp lkn kama mzima wa afya utarudi jf kutoa mrejeshoJamani jamano! Unataka kusema bibi wa 68 years atawashwa mpaka akagawe uroda vichakani[emoji2296]
Hao wajukuu zake ndio watakuwa wanampa huduma anayopaswa kutoa mume?? Chunga ulimi wako broMhhh inaonekana huyo alikuwa mzee mwenzake toka enzi za mdingi,mapenzi gani ya fasta hivyo,huyo babu alikuwa anasubiri tu mzee atangulie ajimilikishe bi mkubwa,anyway mshaurini bimkubwa kwa umri wake ni heri angepumzika alee wajukuu zake,lkn mkiona aelewi basi mruhusuni lakini mwambieni ahame aende huko huko kwa mzee mwenzake yakimshinda atarudi tu mwenyewe
@Dinazarde [emoji23]Yaan na huo uzee si ajikalie tu wamama wa kiswahili wanapenda dudu khaaa
Hata mim nisingemuelewa kabisa, huyo mzee kashamteka bi mkubwa aidha kwa maneno au kwa madawa, 68 yrs bado anahangaikia vibabu ni aibu ukizingatia ni miezi 8 imepita toka kifo cha mumewe ni mapema mno.Haijalishi Ni biological father au chemical father
Mimi ningefukuzilia mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi umri huu wanarudia MunguHata mim nisingemuelewa kabisa, huyo mzee kashamteka bi mkubwa aidha kwa maneno au kwa madawa, 68 yrs bado anahangaikia vibabu ni aibu ukizingatia ni miezi 8 imepita toka kifo cha mumewe ni mapema mno.
Haikatazwi Nakubaliana na wewe. Lakini kwa Heshima ya mume wako na watoto wako, achana na kuolewa! Especially if you are at an advanced age! Ukia kijana ukafiwa na mume, ruksa na Heshima kuolewaUkristo upi unakataza kuoelewa tena? Baada ya kifo cha mwenza?
Ni kweli kabisa, umri huu jua lishaanza kuzama haipendezi kusumbuka na mapenzi. Huyo mama kuna namna karubuniwa na hiko kizeeWengi umri huu wanarudia Mungu
@Dinazarde [emoji23]
Yani umenichekesha japo inatia hasira [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😄😃😀mama dangote
Hebu muheshimu mama yako kuwa na adabuHabari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu.
Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.
Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.
Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?
Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je, ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa.
Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Kweli kabisa. Ashauriwe na Ma Uncle's anachotaka kufanya SI sahihi kabisa. Akiambiwa na Water wenzake ataelewa.Kwangu namuona kama umri umesogea mno si wakuhangaika na mambo ya ndoa.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app