Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Usiongee chochote na maza, ....
kifate hicho kizee kichimbe biti ukiambie kabisa hakitaweza kutia mguu hapo na siku ukikiona na maza utakata chululuu
 
Hata Mimi nisingekubali iyo nyumba imebeba memories nyingi za familia yenu ivyo ibaki kama kumbukumbu ya familia

Home kwenu ukikaa tu seblen mtu huvuta matukio yakifamilia ukiw seblen utais mzee wako yupo chumban au utais saut yake flan kwambal ivyo siyo sawa nyumba ikawa na mtu mwengne ..

Kwanza uyo mzee anaeoa nimzee wa hovyo Sana utaoaje mbibi mbaya Zaid unataka kuamia kwa mbibi mweny watoto wakubwa ? Je watoto wakiamua kurudi wote nyumban kipindi flan utakua na sauti gan Kama baba mwenye nyumba ?

Pia bi mkubwa nae kazingua kwa umbriuo
Alitakiwa akaishi kwa mmoja ya watoto wake alee wajukuu .. cjui atakuw kabila gan ila angekuw uku kwetu angechekwa Kijiji kizima na asinge subutu ..

Anyway kuolewa acha aolewe ila usikubali aishi na uyo mzee apo home that's ur Daddy's empire.. kumpa mtu mwengne nikuto kumueshim mzee wako.. becz ndugu wa babayako I mean maShangazi bamdogo hawato kanyaga Tena kwenu wakickia mother wako anaish na njemba nyingine apo home ..

Ni busara tu ndo inaitajika .. HEKIMA..
 
Kwani malapa ndio yanaoa
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu.

Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.

Je, ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa.

Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
yanaoa...aChA dharau Kwa baba Yako...we unajua mama yako nlkanogewa na Nini!😆jokes
Ila hili jambo ni gumu sana kwa watoto...kina jaamaa alimpa zawadi mama yake ...Kwa kutoolewa baada ya baba kufariki
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu.

Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.

Je, ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa.

Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Kijana upo sahihi uko kuingiza mikosi kwenye familia yaani miaka 68 amebakiza nini kwenye ndoa.da maajabu umri ni mkubwa atulie tu .
 
Huyo ni bibi...mwambie atulie tena uwe mkali..miezi 8 michache sana..nenda kwa huyo mzee pia mpige mkwara wa maana
 
Iyo miaka 68 kwa mwanamke mingi hawezi fika hatakileleni

Mzee anapenda slope asije kuleta utapeli hapo
 
Huyu atakuwa kazoea vumbi la Congo ndio shida inapoanzia ........labda kazee kametoa fomesheni ya mkongo na viks unadhani MTU mzima anagomaje Kwa mfano
 
Usiongee chochote na maza, ....
kifate hicho kizee kichimbe biti ukiambie kabisa hakitaweza kutia mguu hapo na siku ukikiona na maza utakata chululuu
Nashukuru hofu yangu mama atachukia na kuhisi namdharau ndio maana nafikiria nimuhamishie mbali nakoishi.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ni nchi ina mambo??..

Mama mjane wa 68yrs old naye anataka kuolewa.
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu.

Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.

Je, ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa.

Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Mwache aolewe

Hakuna mtu anayependa kuwa mpweke

Kuna mengine wewe au ndugu zako hamuwezi kumsitiri ila mume
 
Kwa miezi 8 mama yenu katisha.

Muwe sirias kabisa kama anaolewa tena aondoke hapo kwenu.

Baadae wansumbuaga sana hao wazee wanasema nyumba ni yao wakati ameikuta.
Tena mama akitangulia kabla yake ataomba mgao pasu na hata wakiachana atasema ni mke wangu nataka mgao wangu.[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom