Umenifanya niimagine kama dingi anavuta sasa hivi halafu baada ya miezi 8 bi mkubwa anatuambia anataka kuolewa, hahahahaha hakuna ndoa itapita hapo, siwezi mruhusu Bi Mkubwa aende kwa huyo Mwanaume na huyo Mwanaume hatoruhusiwa kupeleka lipua lake pale, dadekiiiii
Pole Mwamba huo mtihani ila ongea na Bi mkubwa vizuri aachane na mambo ya kuolewa, kwanza ni muda mfupi sana pili kumleta huyo mzee hapo ndani sio fair, lakini na yeye sio poa kwenda kwenye nyumba za watu huko akapate tabu wakati mjengo wake upo na watoto wanasababisha bila wasi.