Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
That's is factPole kwa changamoto ila kiuhalisia mama anahitaji mtu wa kumpa kampani
Tatizo ni kwamba huyo mzee anataka ahamie kwenu hili ndio linakupa ukakasi
Mama yako ndio anae olewa so ni vema akaenda kwa mumewe na sio yeye kumleta senior marioo hapo kwenye mji wa family yenu
Daaaah wewe jamaa una roho ngumu sana, are you Hitler?Ushauri wangu ni was kikatili sana kama upo tayali njoo PM nikutonye!
Mimi sipendagi kuumiza kichwa mambo madogo kama hayo!
Narudia tena njoo PM nikupe ushauri wa kikatili kama ataponyoka wallah nakuapia hata tamani kuishi hapo kijijin wala puan atasogeza kwenu
Ni kweli hilo la mama kuolewa hawezi kuzuia.....Shida ninayoiona hata Mimi kuleta mwanaume kwenye nyumba ya familia ni kuwanyima watoto Uhuru...halafu mzee ni choka mbaya hapo anaona amepata opportunity atawatesa hao watoto maana itabidi wamhudumie indirect...umeshawahi kujiuliza mzee akiugua nani atamtibu akiwa anaishi humo.? Ama kweli dunia INA mambo.Mama Kuolewa hilo huwezi kuzuia kama wengi wanavyo sema, ila kuolewa halafu aendelee kuishi na huyo mwanaume hapo nyumbani hilo linaleta ukakasi kwa kweli. Mwanaume aoe aende naye kwake na sio yeye ahamie hapo nyumbani hilo hapana.
Miezi 8 mother anavuta jiko duuh
Ndugu yangu usimwimgilie mama kwenye.maamuzi yake jua mama ana radhi kubwa sana hayo ni matokeo mzazi mmoja akifariki hata baba angefanya hivyo kwa hyo kubali yaishe kunjua moyo kijana wa kiume mpokee baba mpya kwa upendo kabisa hisia zinakufa unapokufa jua hivyo...Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.
Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.
Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?
Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Maamuzi ya mama yaheshimiwe, haki ya watoto itunzwe. Anae muoa amchukue nanyi mtaenda kumsalimia huko kwake. Kumleta mume ndani watoto msikubali. Ni kuwavunjia heshima. Ni uthibitisho mama alikuwa na mchepuko wakati wa uhai wa ndoa yao. Akiwakatalia mwache atekeleze, kateni misaada.Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.
Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.
Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?
Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sawa ila amchukue amchukue mkewe akaishi naye kwake, na si kubanana hovyo hovyo kwa watoto.Ndugu yangu usimwimgilie mama kwenye.maamuzi yake jua mama ana radhi kubwa sana hayo ni matokeo mzazi mmoja akifariki hata baba angefanya hivyo kwa hyo kubali yaishe kunjua moyo kijana wa kiume mpokee baba mpya kwa upendo kabisa hisia zinakufa unapokufa jua hivyo...
huyo babu atakua very very sinior marioo[emoji1][emoji1]Pole kwa changamoto ila kiuhalisia mama anahitaji mtu wa kumpa kampani
Tatizo ni kwamba huyo mzee anataka ahamie kwenu hili ndio linakupa ukakasi
Mama yako ndio anae olewa so ni vema akaenda kwa mumewe na sio yeye kumleta senior marioo hapo kwenye mji wa family yenu
YesMaamuzi ya mama yaheshimiwe, haki ya watoto itunzwe. Anae muoa amchukue nanyi mtaenda kumsalimia huko kwake. Kumleta mume ndani watoto msikubali. Ni kuwavunjia heshima. Ni uthibitisho mama alikuwa na mchepuko wakati wa uhai wa ndoa yao. Akiwakatalia mwache atekeleze, kateni misaada.
Hili hata Mimi lisingenisumbuaSawa ila amchukue amchukue mkewe akaishi naye kwake, na si kubanana hovyo hovyo kwa watoto.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Ni kweli, ugumu ni kwamba mzee anataka kuishi kwenye makazi ya mzee.Ndugu yangu usimwimgilie mama kwenye.maamuzi yake jua mama ana radhi kubwa sana hayo ni matokeo mzazi mmoja akifariki hata baba angefanya hivyo kwa hyo kubali yaishe kunjua moyo kijana wa kiume mpokee baba mpya kwa upendo kabisa hisia zinakufa unapokufa jua hivyo...
Si ndio sisi hao waswahiliDina tema mate chini,
Usije kufikisha 70 halafu chini ndio kunaanza kufukuta sijui utamlaumu nani???
Kwake yeye anaona tofauti na weweKwangu namuona kama umri umesogea mno si wakuhangaika na mambo ya ndoa.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hata Mimi nongempa ushauti Kama wako,hongera.Pole kwa changamoto ila kiuhalisia mama anahitaji mtu wa kumpa kampani
Tatizo ni kwamba huyo mzee anataka ahamie kwenu hili ndio linakupa ukakasi
Mama yako ndio anae olewa so ni vema akaenda kwa mumewe na sio yeye kumleta senior marioo hapo kwenye mji wa family yenu