Naombeni ushauri ndugu zangu

Hii umeiweka vizuri sana mkuu!
 
Hivi unaanzaje kuunda mdomo, koromeo na ulimi kutamka maneno hayo kwa dear husband?? Mtu unayetakiwa kumsifia anajua.. mwenzetu ameshamvuruga. Hatuna cha kumsaidia
Yaan anamwambia kabisa kidude hakina maajabu unanipapasa tu na kunipaka majasho wakati ex wangu kuyege lilikua kinafit mpaka linabananishwa kwa ndani we unaniletea kubamia
 
Anamwambia ana kubamia hata kumoyomoyo hapo ndani kwa ndani anajisemea siku akukutana na ex anampa kila aluchonacho
 
Nenda Kwa mwana saikolojia
 
Ushauri sina ila kwa kusoma hapa nimekumbuka mtu mzima mmoja aliwahi kusema...katika ugomvi, jitahidi sana, omba neema kutoka kwa Mungu ya kuweza kukaa kimya. Mara nyingi ugomvi kama ugomvi sio rahisi kuvunja ndoa ama mahusiano, MANENO yanayotamkwa hapo ndo kisanga. Maneno yanaishi. Neno hata ulitamkiwa miaka 10 nyuma, na ulikua mdogo, very likely unalikumbuka. Maneno, maneno, maneno. Ulimi ni kiungo kidogo sana, ila kina maafa kuliko ile mitambo ya nyuklia huko Israel....
 
Duh..mwenzetu kavuruga sana. Haya mambo unakufa nayo rohoni. Ilibidi atengeneze ndoa yake mpaka hana wa kumzidi mume wake, wengine wote aone walikuwa wanampaka shombo
Unaonekana unajitambua
 
Tunasema umu kila siku kama mwanamke sio bikra usio na ukikaidi ukaoa jua unaoa mke wa mtu ila hawataki kutusikia matokeo yake ndo kama aya mnaambia ukweli mnaona mnadhalilishwa🤣
Matumizi ya akili ni madogo sana
 
Matumizi ya akili ni madogo sana
Cc ambao tumeoa bikra wake zetu ata tukigusagusa wameridhik coz anajua ndo show wenyewe.

japo saiv changamoto ni kwa hawa wanawake wanaokuja mitandao kujisifia wanakojozwa wanatupa wakati mgumu wa kuwaelewesha wenza wetu kwamba ni waogo 🤣🤣🤣
 
Cc ambao tumeoa bikra wake zetu ata tukigusagusa wameridhik coz anajua ndo show wenyewe.

japo saiv changamoto ni kwa hawa wanawake wanaokuja mitandao kujisifia wanakojozwa wanatupa wakati mgumu wa kuwaelewesha wenza wetu kwamba ni waogo 🤣
Ila kuoa bikra raha sana, maana hana wa kukuringanisha nae kwa kila kitu
 
Mke huyo hakufai achana nae, mtoto utaendelea kumhudumia akiwa na mamake.
 
Baada tu ya kukulinganisha na huyo X wake, wewe ulifanya makosa mawili:-

1. Kutomtimua ili aende kwa huyo zwazwa wake anayeendelea kumla ingawa ni mkeo.
2. Rejea kosa namba moja hapo juu
 
we muongo tu mtoto wa miezi miwili huku unashiriki tendo na mkeo? Acha kutunga hbr za uongo na hapo ulipo mke huna kenge wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…