White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
- Thread starter
- #21
Kwa kweli mkuu umenena vemaDuuh anakuona zoba. Jitafte kwanza utajitia presha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli mkuu umenena vemaDuuh anakuona zoba. Jitafte kwanza utajitia presha
Dah unanifungua akili mkuuAchanaa na demu wa watu mkuu
Ni kweli lakini K nayo sio poaUsiendeshwe na K
Haha kwahiyo unanishauri nikubali sharti lake ipo siku ataifuata gethoNishawahi tumia Mbinu hiyo,mshkaji alikaza kweli...sijui alikuwa anapiga nyeto Kenge yule...mbona niliifwata mwenyewe ghetto...Cha kufia nini 🤒
SawaPipa na mfuniko
Mwenyewe atakujaHaha kwahiyo unanishauri nikubali sharti lake ipo siku ataifuata getho
Unanipa ujasiri wa ajabu weweMwenyewe atakuja
Kweli mkuu nitajitahidiHiyo k sio ya dhahabu mshikaj wng mbn nyondi ziko kibao step forward man
Asipokuja mwenyewe nitumie njia gani? Naomba experince yako!!Mwenyewe atakuja
Achana nae bhanaAsipokuja mwenyewe nitumie njia gani? Naomba experince yako!!
Unanishauri nitafute mwingine au sio?Achana nae bhana
Hayo ni wewe sasaUnanishauri nitafute mwingine au sio?
Mbona kama unanikataa badala ya kunishauriHayo ni wewe sasa
Simulizi imeishia hapo mkuu,naona hujapozwa bado wataka kurukia yeyote 🥴Mbona kama unanikataa badala ya kunishauri
Tafuta helaHabari wana jukwaa,uzi huu ni mrejesho wa ule uzi wangu unaosema “kwanini utoe namba kama hutaki kutoa ushirikiano”?. Baada ya kuona sipati chochote kutoka kwa namba mpya nikaamua nirudi kwa ex wangu wa muda mrefu kidogo na kutaka kurudiana nae hatimaye amenipa masharti mojawapo ni hili
“
Sharti langu ni kwamba nikiwa mpnz wako hutauona mwili wangu tenaaa mpk nikuone una malengo kweli.Yaani kiufupi tukishafungaa ndoaa au mimi kutambua familia yako na wewe kutambua yanguu
Ivoo usitegemeee ntakuvulia nguo tenaa”
View attachment 3250967 Nifanyeje hapa wanajukwaa?
Sasa wewe unataka ufanye nini sasa!!!Nifanyeje hapa wanajukwaa?
Basi subiri muda wako mpaka uwe tayari ndo umfuateMalengo yapo ila muda bado mkuu
Anakufungua au anakufungaDah unanifungua akili mkuu
MaybeMwenyewe atakuja