Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sasa si unaachana naeAsipokuja mwenyewe nitumie njia gani? Naomba experince yako!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si unaachana naeAsipokuja mwenyewe nitumie njia gani? Naomba experince yako!!
Za niniTafuta hela
Wasiwasi wako tuh hata sina haja ya kuruka na yeyote na hata ikiwa hivyo huyo yeyote hawezi kuwa weweSimulizi imeishia hapo mkuu,naona hujapozwa bado wataka kurukia yeyote 🥴
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!Wasiwasi wako tuh hata sina haja ya kuruka na yeyote na hata ikiwa hivyo huyo yeyote hawezi kuwa wewe
Mkuu id yako inatisha ndo maana naogopa kukujibu (أل مخيف)Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!
Duh kumbe mimi ninatisha!!!Mkuu id yako inatisha ndo maana naogopa kukujibu (أل مخيف)
Sidhani kama haujui tafsiri ya id yako mkuuDuh kumbe mimi ninatisha!!!
Unazungumzia picha au jinaSidhani kama haujui tafsiri ya id yako mkuu
Huna akiliHabari wana jukwaa,uzi huu ni mrejesho wa ule uzi wangu unaosema “kwanini utoe namba kama hutaki kutoa ushirikiano”?. Baada ya kuona sipati chochote kutoka kwa namba mpya nikaamua nirudi kwa ex wangu wa muda mrefu kidogo na kutaka kurudiana nae hatimaye amenipa masharti mojawapo ni hili
“
Sharti langu ni kwamba nikiwa mpnz wako hutauona mwili wangu tenaaa mpk nikuone una malengo kweli.Yaani kiufupi tukishafungaa ndoaa au mimi kutambua familia yako na wewe kutambua yanguu
Ivoo usitegemeee ntakuvulia nguo tenaa”
View attachment 3250967 Nifanyeje hapa wanajukwaa?
JinaUnazungumzia picha au jina
Sawa mkuuHuna akili
Nimelitunga mwenyeweJina
Ndio mkomeNishawahi tumia Mbinu hiyo,mshkaji alikaza kweli...sijui alikuwa anapiga nyeto Kenge yule...mbona niliifwata mwenyewe ghetto...Cha kufia nini 🤒
🤣🤣🤣🤣Ndio mkome
Ulikomaa hukulala,mi nilifanikiwa kupata usingiziMaybe
Sawa mkuu ushauri wako nauzingatiaHizo ni Sera tu... we kubali hayo masharti.... sahiv ana moto sana, atatulia mwenyewe..
Kwani ndio mara yako ya kwanz kupigwa masharti ya namna hiyo?