White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
- Thread starter
- #61
Sawa mkuu ushauri wako nauzingatiaMbona pisi nyingi sana achana naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu ushauri wako nauzingatiaMbona pisi nyingi sana achana naye
Km ni Kwl wanaume wamezeeka umri wa Wasira.Habari wana jukwaa,uzi huu ni mrejesho wa ule uzi wangu unaosema “kwanini utoe namba kama hutaki kutoa ushirikiano”?. Baada ya kuona sipati chochote kutoka kwa namba mpya nikaamua nirudi kwa ex wangu wa muda mrefu kidogo na kutaka kurudiana nae hatimaye amenipa masharti mojawapo ni hili
“
Sharti langu ni kwamba nikiwa mpnz wako hutauona mwili wangu tenaaa mpk nikuone una malengo kweli.Yaani kiufupi tukishafungaa ndoaa au mimi kutambua familia yako na wewe kutambua yanguu
Ivoo usitegemeee ntakuvulia nguo tenaa”
View attachment 3250967 Nifanyeje hapa wanajukwaa?
Acha hiyo kazi ya shetwaniKwani kaka ulihombana na nyeto? Rudi kundini kaka stop engine 🤣🤣
Rules of Nyeto.
1. Haiombi nauli
2. Haina ubaguzi wa muda
3. Haina period
4. Inakupa utakacho
5. Inakupa ushirikiano 100%
Kaka piga nyero 🤣🤣
Kaoe Mzee hamna vya dezo dezo, mdada bana mapaja hivyo hivyo anataka vya Bure muonyeshe kwenu wapi akombe ruhusa، mdada umejitambua tulia hapo hapo.Habari wana jukwaa,uzi huu ni mrejesho wa ule uzi wangu unaosema “kwanini utoe namba kama hutaki kutoa ushirikiano”?. Baada ya kuona sipati chochote kutoka kwa namba mpya nikaamua nirudi kwa ex wangu wa muda mrefu kidogo na kutaka kurudiana nae hatimaye amenipa masharti mojawapo ni hili
“
Sharti langu ni kwamba nikiwa mpnz wako hutauona mwili wangu tenaaa mpk nikuone una malengo kweli.Yaani kiufupi tukishafungaa ndoaa au mimi kutambua familia yako na wewe kutambua yanguu
Ivoo usitegemeee ntakuvulia nguo tenaa”
View attachment 3250967 Nifanyeje hapa wanajukwaa?