Naombeni ushauri nikubali hili sharti nililopewa na ex wangu

Huna akili
 
Hizo ni Sera tu... we kubali hayo masharti.... sahiv ana moto sana, atatulia mwenyewe..

Kwani ndio mara yako ya kwanz kupigwa masharti ya namna hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…