Ndugu acha kudanganya tunalipwa vilaki 4 vitano huko mbona tunawekeza hayo mashamba tunayo tena maeneo potentiel kabisaMilioni kumi * 6 = 60m.
Kama umenunua gari plus eneo ekari 5 na una akiba ya 5m. Nakupa big up wala hujachezea pesa kumbuka ulikula bata pia. Kwa mwendo huo ungekua na hiyo kazi Kwa miaka 5 ungekua mbali sana. Angekua wa kiume hata boxsa asingenunua
Huamini katika haki sawa ? na usawa katika fursa ? Mbona kina dada wapo wengi tu wanapiga hizo misheMmh mi wakike Swez fanya bolt
Ww sa tisa ulikua unamlinda ndani, Au leo ulihamishiwa Ikulu ya Mwanza😂😂😂Wee saa 9 ujue??, geuka mbu Wana kung'ata
Basi fanya mapenziMmh mi wakike Swez fanya bolt
NGOaverage ya million 10 kwa mwezi.
Ndani ya miezi 6 ?Ndugu acha kudanganya tunalipwa vilaki 4 vitano huko mbona tunawekeza hayo mashamba tunayo tena maeneo potentiel kabisa
Una wazazi?Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Mkuu umenisema mimi kabisa.Milioni kumi * 6 = 60m.
Kama umenunua gari plus eneo ekari 5 na una akiba ya 5m. Nakupa big up wala hujachezea pesa kumbuka ulikula bata pia. Kwa mwendo huo ungekua na hiyo kazi Kwa miaka 5 ungekua mbali sana. Angekua wa kiume hata boxsa asingenunua
wanawake wanafanya pia... unatumia gari gani kwani...? naweza nikafanya kwa niaba yakoMmh mi wakike Swez fanya bolt
'nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi'Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Ashikilie hapa.Kwa kuwa una gari anza kupiga mishe za Uber au Bolt huku ukifukuzia kazi nyingine
Hebu tulia huko😆, kaa na ma uchoyo yako🤒Ww sa tisa ulikua unamlinda ndani, Au leo ulihamishiwa Ikulu ya Mwanza😂😂😂