Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Serious, nime lala asubuiMdanganye mjinga😂😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serious, nime lala asubuiMdanganye mjinga😂😂😂😂😂
Kwani sa tisa usiku sio alasiri😂😂😂😂😂😂Serious, nime lala asubui
Hizo hela tenga milion 4 mpe liverpool baadaye, mpe juve bila kusahau Ajax.
Hiyo m1 nenda nayo bar ukatoe wenge.
kakudanganya nani wa kike hawafanyi bolt dear?Mmh mi wakike Swez fanya bolt
ila wajaWazo hili hapa .....anza kuwafuga mwenyewe
Lakini shida ilianzia ulipoanza kugoma kwenda church ukiambiwa na wazazi rudi kwenye thread zako kazipitie vizuri
Wazo na utekelezaji ni vitu viwli tofautiHela hukuta wazo
Ukiona unapata hela halafu ndio utafute wazo la biashara, BASI USIFANYE BIASHARA.
#YNWA
Alikuwa busy kwenye starehe Vikao Kila siku udhuru!haya ndio matokeo yake....Hela ya starehe ni jukumu la mwanaume Kila siku tunawaambia humu hayo ndio madhara ya kujifanya independent woman...
😘😘😘Alikuwa busy kwenye starehe Vikao Kila siku udhuru!haya ndio matokeo yake....Hela ya starehe ni jukumu la mwanaume Kila siku tunawaambia humu hayo ndio madhara ya kujifanya independent woman...
Kwakweli apambaneAlikuwa busy kwenye starehe Vikao Kila siku udhuru!haya ndio matokeo yake....Hela ya starehe ni jukumu la mwanaume Kila siku tunawaambia humu hayo ndio madhara ya kujifanya independent woman...
Ukute gari yenyewe IST na heka 5ziko Matombo!ila jamani ukiwa fungu la kukosa ni la kukosaKwakweli apambane
Nani kakudanganya? Mbona wako mabinti kibao wanafanya Bolt?Mmh mi wakike Swez fanya bolt
Duh watu wanalipwa mkuu
Ila angalau kafanya kitu na kala bata ila angekuwa mwanaume asingenunua hata boxa zote zingeishia kwenye mbususu.Ukute gari yenyewe IST na heka 5ziko Matombo!ila jamani ukiwa fungu la kukosa ni la kukosa