She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
- Thread starter
- #141
Point takenkama uliipata hiyo kazi kwa kuwa na tako kubwa basi litumie hilo tako kupata kazi ofisi nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point takenkama uliipata hiyo kazi kwa kuwa na tako kubwa basi litumie hilo tako kupata kazi ofisi nyingine
Njoo Lindi / Mtwara Kuna mdada anaendesha boda boda na kwa siku anaingiza zaidi ya 30kMmh mi wakike Swez fanya bolt
Juve????Hizo hela tenga milion 4 mpe liverpool baadaye, mpe juve bila kusahau Ajax.
Hiyo m1 nenda nayo bar ukatoe wenge.
Kwan unatako😄😄?Point taken
Yah wapo hata arusha nimemuona.Njoo Lindi / Mtwara Kuna mdada anaendesha boda boda na kwa siku anaingiza zaidi ya 30k
Alishinda, jumla zilikuwa odds 5+ maana mi mwenyewe nilibeti hivyo.Juve????
Safeland Ndio utapeli gani mpya?Wekeza safeland utapata 1,500,000 kila mwezi.
1. Ukishauriwa changanya na za kwako hilo chukua bure sikutozi pesa.Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Nunua GUTA man!!! "litakusaidia kutumwa na mabosi wako wako wapya"wenye magenge"kwenda kuwanunulia mikungu ya ndizi,kabichi,nyanya na kdhalika man!!!!'...alaf karbu nikufundishe kutongoza mademu wabovu wasiopiga mswaki huku kwenye ubanda wa mnazi man!!!...karibu UGUMUNI MAN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Utapeli hamna, hela unaweka unapata faida 30% kila mwezi. Kila kitu risk tu katika maisha.Mimi nimeweka ninatoa hela vizuri tu.Safeland Ndio utapeli gani mpya?
Wizi, wizi, wizi! Taifa laangamia!Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Pambana, kila kitu kina changamoto zake.Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
HahahaMmh mi wakike Swez fanya bolt
Jamani 🤣🤣🤣Ooh basi kama bolt ni ukike tulia umasikini ukuchakae vzuri hadi useme