Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Si mchezo
 
Hukustahili kupewa huo mshahara ndio maana ulichanganyikiwa na matumizi
 
Karma,bajeti inatoka ununue kilo 200 za mchele wewe unanunua kilo 100.
Usijilaumu hela ya madili huwa ni ya kustarehe,ulinunua gari gani kijana?
Sio kweli maana viongozu wote wa serikali wana mali kwa pesa ya madili maana mishahara yao hailingani na mali walizo nazo
 
Pole sana Mkuu, lakini usiudhunike sana binadamu hujifunza kutokana na makosa. Wataalam wanasema kupata pesa ni suala lingine na kutengeneza mzunguko wa kudumu wa kupata fedha ni suala lingine. Wajapani, Waswizi, Wapare na wakorea wanaamini katika jitihada, ubahili na saving, Waisrael wanaamini katika kuhifadhi dhahabu na ubunifu, Nordic - nidhamu, wahindi wanaamini kumyonya mwingine, Latino wao wanaamini katika connection, rushwa and deals, waingereza na Marekani wanaamini katika competition, creativity and re-investing. Aidha, kuna group maalum kila sehemu linaloamini katika unyonyaji, wizi, utapeli, uporaji na unyang'anyi. Kwa wewe ambaye unaoneka ulipata money shock, ni vema ukawekeza kwenye eneo lenye resonable risk, jenga desturi ya saving na ukawa mstahimilivu katika kuhimili anguko la lifestyle.
Ubarikiwe mkuu,ww ni GT
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?

fungua ka danguro kadogo
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?

10Mil *6= 60 milion

sijawai shika iyo pesa
 
...... Lakini shida ilianzia ulipoanza kugoma kwenda church ukiambiwa na wazazi rudi kwenye thread zako kazipitie vizuri ...
Sijakuelewa KANISA LINAAMUAJE MSHAHARA na BIASHARA na MAAMUZI YA PESA YA MTU?

#YNWA
 
Sometime manipulation sio nzuri hata kidogo.

Unapotaka ku-post kitu chochote kile jaribu kuunganisha matukio na post zako za nyuma uone kama trends zina-match kuanzisha uzi mpya. People are not that idiot. They can absolutely access your previous posts anyhow.

Mfano, Mtu ana-post

Leo[emoji117]Nina MTAJI wa 500,000/= naomba ushauri Biashara ya kufanya niko dar.

Kesho[emoji117]Nina bajeti ya million 15, wapi nitapata gari zuri la kutembelea hapa morogoro?

Kesho kutwa[emoji117] Nimeamua kwenda rukwa nikaanzishe kilimo cha mpunga, kuishi kwa wazazi nimechoka. Maombi yenu wadau.

So, Which is which [emoji849][emoji849][emoji17][emoji17].
Tatizo unadhania maisha ya binadam ni static wakati ni dynamic any time yanachange.
This is a story of from zero to hero to zero again
 
Ukitoa usista duu na u slay queen fanya hivi.
Ingia vijijini sehemu kama mpanda, katavi, sikonge, Kaliua nunua mbuzi na baadhi ya vijijj kahama hapa namaanisha maporini vijijini ndani huko mbuzi ni 50000 na ngombe ni 200000 kanunue peleka vingunguti huko wateja wanakusubiri wewe. Inshu ya usafiri ukifika huko utakuta wafanyabiashara wengi wakubwa na wadogo so usafiri huwa wanachanga na unakua nafuu. Fanya hio kazi uendelee kula bata!
 
kama uliipata hiyo kazi kwa kuwa na tako kubwa basi litumie hilo tako kupata kazi ofisi nyingine
 
Sijakuelewa KANISA LINAAMUAJE MSHAHARA na BIASHARA na MAAMUZI YA PESA YA MTU?

#YNWA
Kanisa kuachana na mambo ya iman kila mtu ana iman yake ila kwenye nyumba za ibada asilia kubwa hufundisha maadili


According tu mtoa mada alikosa nidhamu ambayo ni mapungufu ya maadili
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
hahaha dah sicheki kwa kuwa nimefurahi kurudi kuwa masikini nimecheka kwa kusema ''ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini'' AHAHAHAHHA AHAHA HAAA
 
Back
Top Bottom