Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Mshahara wa milioni kumi kwa miezi 6 ni milioni 60.ukitoa gharama za kuishi kwa muda huo labda milioni 20 .hizo 40 umenunua eneo la ekari 5 na gari .una bado umebaki na milioni 5 .
Hujafuja pesa kabisa umetumia vizuri hongera,sasa hizo tano njoo nazo katavi unakodi shamba la heka 5 kwa laki tano.unatumia milioni mbili kupanda mahindi,mchele,viazi,karanga baada ya mwaka utakuja kunishukuru
 
Kwamba huko kilimo ni uhakika?
Mshahara wa milioni kumi kwa miezi 6 ni milioni 60.ukitoa gharama za kuishi kwa muda huo labda milioni 20 .hizo 40 umenunua eneo la ekari 5 na gari .una bado umebaki na milioni 5 .
Hujafuja pesa kabisa umetumia vizuri hongera,sasa hizo tano njoo nazo katavi unakodi shamba la heka 5 kwa laki tano.unatumia milioni mbili kupanda mahindi,mchele,viazi,karanga baada ya mwaka utakuja kunishukuru
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Mkuu, unge check na ndugu kwanza uwaambie kuwa sasa hauna kazi, wanaweza wakakushauri vizuri.
 
Uzi kama huu ile mwanzo ulishauriwaje?
 
Nenda kwenye baa yenye mademu wengi chakaza hata hyo iliyobaki then akili itakuja
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Ulikuwa 60 m baada ya miezi 6 una 5 m.Kumbuka tu fursa aiji mara mbili.
 
'nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi'

amka ndotoni utajinyea dogo
Anachosema ni sahihi,waliofanya kazi kwenye mashirika yanayohudumia wakimbizi wanafahamu.Kupata 10M kwa mshahara+bonus+ deals ni sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom