Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Kwani mkuu unatuonaje labda ila naamini ww ni ke ndani ya me sasa usituchukulie poa kabisa na usijisahau
 
Fursa ilikuja ukashindwa kuitumia. Sioni kama una tofauti na yule aliyeuza nyumba na kununua gari ya matanuzi.
 
1. Ukishauriwa changanya na za kwako hilo chukua bure sikutozi pesa.

2. Wewe una wazo la biashara gani?
Ukijibu hili tayari utakuwa una mwanga mzuri wa ni nini ufanye.

Closure ikimalizika chukua NSSF yako kisha amza biashara uipendayo. Binafsi nafanya biashara ya nyama inalipa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua GUTA man!!! "litakusaidia kutumwa na mabosi wako wako wapya"wenye magenge"kwenda kuwanunulia mikungu ya ndizi,kabichi,nyanya na kdhalika man!!!!'...alaf karbu nikufundishe kutongoza mademu wabovu wasiopiga mswaki huku kwenye ubanda wa mnazi man!!!...karibu UGUMUNI MAN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wizi, wizi, wizi! Taifa laangamia!
 
Pambana, kila kitu kina changamoto zake.

Pia tukushauri ukiwa kapuku, wakati unazo unashauriwa na wengine?
 
Tafuta bodaboda mpe futa mnunulie Boxer mpya akuletee chips kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…