Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Kwa mjin
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?

Kwa mburula kama wewe, biashara ya mihogo ya kuchoma ndiyo saizi yako.
 
S
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Si ulichezea 10m kila mwezi, sasa subiri kuchezewa.
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Pole sana Mkuu, lakini usiudhunike sana binadamu hujifunza kutokana na makosa. Wataalam wanasema kupata pesa ni suala lingine na kutengeneza mzunguko wa kudumu wa kupata fedha ni suala lingine. Wajapani, Waswizi, Wapare na wakorea wanaamini katika jitihada, ubahili na saving, Waisrael wanaamini katika kuhifadhi dhahabu na ubunifu, Nordic - nidhamu, wahindi wanaamini kumyonya mwingine, Latino wao wanaamini katika connection, rushwa and deals, waingereza na Marekani wanaamini katika competition, creativity and re-investing. Aidha, kuna group maalum kila sehemu linaloamini katika unyonyaji, wizi, utapeli, uporaji na unyang'anyi. Kwa wewe ambaye unaoneka ulipata money shock, ni vema ukawekeza kwenye eneo lenye resonable risk, jenga desturi ya saving na ukawa mstahimilivu katika kuhimili anguko la lifestyle.
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?


Panda ndege nenda Dar
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Niuzie mie hizo heka tano
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
Nywea tu bia na panda nayo ndege kila weekend utoke Dar na kwenda Kigoma.
 
Kwahiyo Ulikuwa Unatoka Kasulu Hadi Kigoma Upande Ndege

Haijaisha Hadi Iishe Njoo Tena Kasulu Tuonane Ama Njoo Morogoro Tulime
20240120_140720.jpg
 
Milion tano ni hela nyingi sana kwa yoyote anayetaka kuanza, wengi walianza wakiwa wana sifuri lakini wako mbali mno! Tofauti nawe mleta mada una mtaji mkubwa kwa kiasi chake.
Jishushe sana , kisha uanze chini wakati mmoja utajikuta juu sana .

Usijali kuhusu jana.
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya Cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil5 niifanyie biashara gani hapa dar?
DJ weka wimbo Prof J wa Chemsha Bongo kwanza. Ukiisha huo weka Wa Twanga Pepeta unaoitwa "Umepotea" (Upatapo fahamu)
 
Kwa hyo pesa njoo nikupeleke kisarawe ununue ekali 10 kwa mil moja mil uendeleze shamba hilo kwa kupanda minazi na chenza na m 2 kuna biashara utafungua hapa nitakuelekeza na mil 1 ibaki kama akiba yako utanishukuru siku 1
 
Milioni kumi * 6 = 60m.
Kama umenunua gari plus eneo ekari 5 na una akiba ya 5m. Nakupa big up wala hujachezea pesa kumbuka ulikula bata pia. Kwa mwendo huo ungekua na hiyo kazi Kwa miaka 5 ungekua mbali sana. Angekua wa kiume hata boxsa asingenunua
 
Back
Top Bottom