Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna kipindi nilikua namiliki duka la nguo..bas nikawa najaza mashost mle dukan wanalala tu chinu kwa tiles huyu ataagiza kiepe alie ndani..huyu juic huyusoda! Nk nk...mwingine atavya tite inambana yaan vuruge mechi tu.!kwa dar mkuu nauhakika ni sehemu sahihi...cha msingi usirudi nyuma kama akili ishakutuma kufanya iyo biashara kinachotakiwa ni kuanza tu utekelezaji...make sure iyo sehemu kama kuna muingiliano wa watu,kwa pembeni ya biashara yako kama kuna nafasi weka hata mabenchi mawili na drafti/bao watu wawe wanacheza na ka draft/bao pembeni...iyo itakuongezea wateja...but zingatia usafi usafi usafi mkuu....ukifanikiwa kufungua kama utakuwa interested usisite kuni alert maweza kukushauri na vitu vingine unavyoweza kuviongezea kwenye biashara yako sababu wakati mwingine biashara moja inaweza zalisha biashara nyingine...kila la kheri mkuu
Basi mume akija saa12 anipitie twende home ananiwakia balaa .nikawa naona ananibania tu nisiwe na marafiki my friendukitaka kuharibu biashara weka hizo bench sijii viti ( maana walikopa had wengine had leo wana deni) mtu anakuja anakaa na sio mteja .na kuna watu akishaona nyomi la watu haji ng'o!.
Yaani uweke mchezo wa bao kwenye kilinge cha juice? Ustaarabu utaenda kwao! Sanasana utakopwa na hao washikaji na wasilipe kwa wakati...! Ni sumu sana kwa biashara!