Naombeni ushauri wa biashara ya juice ya miwa, mtaji ni milioni 1-2

Naombeni ushauri wa biashara ya juice ya miwa, mtaji ni milioni 1-2

Well... success is a process !1, duka la mangi(2009-2012 niliacha waliniibia kila kitu)
..2: mitumba 2012-2015 alipoingia jpm ikaharibika..nihamia za dukani...wakanipigia mzigo wote kkoo ( kumbuka nna kaajira pia .so jion ndo nakaa dukani)..😆😆😙..2016 nikaingia kwa kilimo..tikiti... Mchicha , pilipili tango, tembele..strawberry till 2018 nilipopata ajali nikaachana na kilimo kabisa!
2019- ( hapa kuna juice ya miwa, mikopo midogo dogo, mama lishe)-till date nimeamua kuwa msafiri kafiri😊!( nafind solutions zaidi)
Nadhani nna idea zaidi kwa kilimo coz nimezaliwa kwa familia inayopractice sana kilimo cha kisasa na ufugaji🐂🐂!
kifupi hela naimanya vilivyo na inajua najua kuifata ...ugumu naumanya!

Pia kwa biashara nna idea nzur tu coz dingi had leo anapractice...so usishangae ukaniona nacomment hata kwenye mbishe za mbao...anaifanya sana hii so nna idea nayo coz sipendi kupitwa... Hutaniona nacomment kwenye alizet, dengu, rupia..et all! na mazao mengine!
Relax....!Iam not just a sweet talker!
Napenda maisha yasio na bugudha za hela kwahyo dawa ni kuzitafuta kwa hali na mali!
daaah hapo mwanzoni mbona ulikuwa unaibiwaibiwa sana,tatizo lilikua nn madam
 
Ndo ukisikia changamoto kwa biashara ndo hizo mkuu! Ni maduka ya mtaani ulinzi hakuna...hakukua na sababu nyingine mkuu!...huwezi kwenda njia iliyoonyoka..never...changamoto ni nzuri zaidi
Ok,it seemz ume hustle sana na experience nyingi za business...coz kuna uzi nilikukuta unatoa skills za biashara ya madini...kuna sehemu hujapita kweli wewe😂
 
migodini story zake za kuingia chini ya ardhi huwa nikiziskia zinanitisha kimtindo though kwa maji yaliponifika sahv,yamenifika pabaya mno shingoni kabisa😂😂...ndo umejichimbia huko nini kwa wakati huu???

😉😉😉😉! Mwanaume hutakiwi kuwa na hofu mkuu! Mie huku ndo makazi rasmi ! Sioni pa kwenda
 
Nimesoma mengi hapa na kujifunza sana.
Ushauri wangu kwa mtu yoyote anayependa kufanya biashara ajitahidi kufahamu haya machache. Kwangu mimi yamenisaidia sana.

Kufanya biashara sio jambo rahisi, na kutengeneza faida ya uhakika kutoka kwenye biashara ni jambo gumu zaidi. Kama huamini jaribu kufanya biashara.!

Sio vizuri kuanza kufanya biashara kwa kutumia pesa za mkopo. Mkopo una maana kubwa kwenye kupanua mtaji wa biashara iliyokwisha anzishwa tayari na sio kuanzishia biashara.

Usitegemea kuvuna faida kirahisi kwa kuanzisha biashara na kuweka mtu wa kuifanya. Jaribu kuanza kuifanya wewe mwenyewe kabla ya kuajiri mtu.

Kama huna muda wa kuisimamia biashara yako wewe mwenyewe basi usifanye hiyo biashara kabisa! Biashara yako inakuhitaji wewe mwenyewe, uwepo wako, muda wako na Akili yako yote. Kadri ambavyo unakuwa mbali na biashara yako ndivyo ambavyo faida inapungua, hasara inakaribia na biashara ina lega lega. Ni biashara chache, kwa watu wachache tena baada ya kukua na kukomaa ndio ambavyo zinaweza kwenda bila uwepo wapo wa moja kwa moja.
Mkuu umeelezea vizuri, cha kuongezea hapo ukianza biashara ni km mtt mchanga anahitaji ungalizi wa wazazi ili akue vzr, ndi hivyo kwa biashara inamuhitaji yy kwanza ndipo atajua kila changamoto, lkn ya hii kumuweka kijana upo uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara.
 
Mie naogopa kukushauri watakuja manguli watasema hee na hii unaijua[emoji38]!..lakini kifupijuice ya miwa=popcorn ...! Sijui kama bado watu wanakimbilia miwa pale kariakoo gerezani dadek maisha haya!..imepoa!

Kidogo nitenguke kiuno kugombea miwa[emoji56]! Tena kama unamkabidhi mtu atauza atakuwa anakupa za glass kumi tu !
all the best
We tiririka mama usiogope. Kwa watu wavivu/wasio jishughulisha wakiona mtu anajua mambo mengi kwao ni crime, haters will always be there. After all there is no law against knowledge.
 
Well... success is a process !1, duka la mangi(2009-2012 niliacha waliniibia kila kitu)
..2: mitumba 2012-2015 alipoingia jpm ikaharibika..nihamia za dukani...wakanipigia mzigo wote kkoo ( kumbuka nna kaajira pia .so jion ndo nakaa dukani)..[emoji38][emoji38][emoji11]..2016 nikaingia kwa kilimo..tikiti... Mchicha , pilipili tango, tembele..strawberry till 2018 nilipopata ajali nikaachana na kilimo kabisa!
2019- ( hapa kuna juice ya miwa, mikopo midogo dogo, mama lishe)-till date nimeamua kuwa msafiri kafiri[emoji4]!( nafind solutions zaidi)
Nadhani nna idea zaidi kwa kilimo coz nimezaliwa kwa familia inayopractice sana kilimo cha kisasa na ufugaji[emoji243][emoji243]!
kifupi hela naimanya vilivyo na inajua najua kuifata ...ugumu naumanya!

Pia kwa biashara nna idea nzur tu coz dingi had leo anapractice...so usishangae ukaniona nacomment hata kwenye mbishe za mbao...anaifanya sana hii so nna idea nayo coz sipendi kupitwa... Hutaniona nacomment kwenye alizet, dengu, rupia..et all! na mazao mengine!
Relax....!Iam not just a sweet talker!
Napenda maisha yasio na bugudha za hela kwahyo dawa ni kuzitafuta kwa hali na mali!
Safi sana huwa napenda mwanamke mchakarikaji kama ulivyo mama G ila umesahau ile 'yetu' ya dhahabu kwenye list hapo.
 
Nimesoma mengi hapa na kujifunza sana.
Ushauri wangu kwa mtu yoyote anayependa kufanya biashara ajitahidi kufahamu haya machache. Kwangu mimi yamenisaidia sana.

Kufanya biashara sio jambo rahisi, na kutengeneza faida ya uhakika kutoka kwenye biashara ni jambo gumu zaidi. Kama huamini jaribu kufanya biashara.!

Sio vizuri kuanza kufanya biashara kwa kutumia pesa za mkopo. Mkopo una maana kubwa kwenye kupanua mtaji wa biashara iliyokwisha anzishwa tayari na sio kuanzishia biashara.

Usitegemea kuvuna faida kirahisi kwa kuanzisha biashara na kuweka mtu wa kuifanya. Jaribu kuanza kuifanya wewe mwenyewe kabla ya kuajiri mtu.

Kama huna muda wa kuisimamia biashara yako wewe mwenyewe basi usifanye hiyo biashara kabisa! Biashara yako inakuhitaji wewe mwenyewe, uwepo wako, muda wako na Akili yako yote. Kadri ambavyo unakuwa mbali na biashara yako ndivyo ambavyo faida inapungua, hasara inakaribia na biashara ina lega lega. Ni biashara chache, kwa watu wachache tena baada ya kukua na kukomaa ndio ambavyo zinaweza kwenda bila uwepo wapo wa moja kwa moja.
Umenifanya niingie hapa kwa ushauri huu mzuri sana yaani umetufumbua wengi
 
Back
Top Bottom