Naombeni ushauri wa biashara ya juice ya miwa, mtaji ni milioni 1-2

daaah hapo mwanzoni mbona ulikuwa unaibiwaibiwa sana,tatizo lilikua nn madam
 
Ndo ukisikia changamoto kwa biashara ndo hizo mkuu! Ni maduka ya mtaani ulinzi hakuna...hakukua na sababu nyingine mkuu!...huwezi kwenda njia iliyoonyoka..never...changamoto ni nzuri zaidi
Ok,it seemz ume hustle sana na experience nyingi za business...coz kuna uzi nilikukuta unatoa skills za biashara ya madini...kuna sehemu hujapita kweli weweπŸ˜‚
 
Ok,it seemz ume hustle sana na experience nyingi za business...coz kuna uzi nilikukuta unatoa skills za biashara ya madini...kuna sehemu hujapita kweli weweπŸ˜‚

πŸ˜†πŸ˜†!huko ndo hom sweet home! Karibu sana migodini
 
migodini story zake za kuingia chini ya ardhi huwa nikiziskia zinanitisha kimtindo though kwa maji yaliponifika sahv,yamenifika pabaya mno shingoni kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚...ndo umejichimbia huko nini kwa wakati huu???

πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰! Mwanaume hutakiwi kuwa na hofu mkuu! Mie huku ndo makazi rasmi ! Sioni pa kwenda
 
πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰! Mwanaume hutakiwi kuwa na hofu mkuu! Mie huku ndo makazi rasmi ! Sioni pa kwenda
Kweli aisee,sa kama we madam umepaweza mi napashindwaje kwa mfano...takutafuta madam then tuone naweza pewa abcd then nikapata hata ideas ya sehemu ndogo ya kuanzia...nahasira sana ya kutafuta hela acha tu😎
 
Kweli aisee,sa kama we madam umepaweza mi napashindwaje kwa mfano...takutafuta madam then tuone naweza pewa abcd then nikapata hata ideas ya sehemu ndogo ya kuanzia...nahasira sana ya kutafuta hela acha tu😎

Huna hasira wewe mkuu😎! Wenye hasira za maisha wanajulikana tu kwa matendo yao😎😎(jokes)
 
Mkuu umeelezea vizuri, cha kuongezea hapo ukianza biashara ni km mtt mchanga anahitaji ungalizi wa wazazi ili akue vzr, ndi hivyo kwa biashara inamuhitaji yy kwanza ndipo atajua kila changamoto, lkn ya hii kumuweka kijana upo uwezekano mkubwa wa kutiwa hasara.
 
We tiririka mama usiogope. Kwa watu wavivu/wasio jishughulisha wakiona mtu anajua mambo mengi kwao ni crime, haters will always be there. After all there is no law against knowledge.
 
Safi sana huwa napenda mwanamke mchakarikaji kama ulivyo mama G ila umesahau ile 'yetu' ya dhahabu kwenye list hapo.
 
Umenifanya niingie hapa kwa ushauri huu mzuri sana yaani umetufumbua wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…