Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

Bro i am 29, have a wife and kid, and a business but i have no car..and i feel great every morning. Acha udaslamu, hio 4million fungua biashara baada ya miake minne nunua gari na bado unabaki na biashara yako.

Tupo tofauti
 
Sawa ila sio poa,najaribu hadi nahisi vidada vya hapo nje nivanisema
Kopa pesa uongezee na iliyoko bank ili ununue gar maana ndicho unachotamn kusikia kutoka kwetu japo wakuu wanakushaur vzr kwamba ishi maisha yk lkn pia huwez jua wao wamepaj hayo magar; ila ww bd umeshupaza shingo sijui unajikia vby Mara waschn wanakuon siyo!! Ilimrad tuu tukwambie ng'oa ndinga!! Na ni kama hujui nn unataka!!

Wee nunua tuu gar utilize nafsi yako lkn kumbk kuna survive siyo siku mbili imezngua umepaki wenzio bd wanaendelea na life kama kawaida na magar yao ww umepaki na huku mshahara unakatwa! Sijui utajisikiaj au utarud tn hapa kutafita mteja!!
Kila la kher kaka
 
Yaani nakua bored,asubuhi wote wanaondoka na ndinga mimi nachukua boda…Hali hii sipendezwi nayo
Sasa unalalamika au unataka ushauri? Nunua Hilo gari u enjoy acha kulialia humu jukwaani!.
 
Wanajamii humu, nimatarajio yangu mko poa.

Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices, ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa Sinza hapa Dar, nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano. Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari, sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi, nina option zifuatazo.

Naomba mnisaidie kimawazo.

1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.

2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank, nyingine nikope ili namimi niendane nao.

Which Is best option?
"He is wise,who is contented with small things" Epicurus.
 
Bro sio poa…Ni rahisi kusema.Wote asubuhi wanaondoka na ndinga zao mimi nachukua boda kweli?
Shauri zako,fuata ushauri maana uliomba ushauri, staki kukumbuka time Nikiwa 28 h😢😢😢
 
Option no 12. Wagongee madem zao.
Coz shida yako ni unyonge, ukifanya hivyo yaani uta-enjoy sana maisha. Utanishukuru baadae.
 
Bro sio poa…Ni rahisi kusema.Wote asubuhi wanaondoka na ndinga zao mimi nachukua boda kweli?
Usafiri ni Jambo zuri sana Ila kama kipato chako kidogo nunua pikipiki gari Lina garimu sna kama kipato chako kidogo utaonaa kama umeingia Chala nunua pikipiki furahia mizunguko yako japo inabidi uwe makini sana barabarani kingine embu Hama apo ulipo tafuta eneo lingine la kuishi
 
Usafiri ni Jambo zuri sana Ila kama kipato chako kidogo nunua pikipiki gari Lina garimu sna kama kipato chako kidogo utaonaa kama umeingia Chala nunua pikipiki furahia mizunguko yako japo inabidi uwe makini sana barabarani kingine embu Hama apo ulipo tafuta eneo lingine la kuishi

Ok
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]

aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unaona nyingi..100k natuma kwa wazee,200k nalipa rent,300k usafiri job,vocha na kula kazini,100k kusaidia ndugu na michango ya hapa na pale nabaki na 300k nasave au kipindi kile sina vitu vya ndani nanunua so sio nyingi
 
Option iliyopo ni kununua magari mawili uwashinde wote
 
Wanajamii humu, nimatarajio yangu mko poa.

Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices, ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa Sinza hapa Dar, nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano. Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari, sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi, nina option zifuatazo.

Naomba mnisaidie kimawazo.

1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.

2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank, nyingine nikope ili namimi niendane nao.

Which Is best option?
Wao walinunua magari kwa kuigana na kufatana(kwa maana ya muda kati ya mmoja na mwingine wa kununua hayo magari) au kulikuwa na utofauti.?
 
Wao walinunua magari kwa kuigana na kufatana(kwa maana ya muda wa mmoja na mwingine wa kununua hayo magari) au kulikuwa na utofauti.?

Wawili walinunua mwaka jana,mmoja alivyorudi kutoka likizo mwezi wa kwanza kaja nalo..Wa mwisho ambaye alikuwa ananipa company tupo wote last week ndo kaja nalo ka kadi ya gari ina jina lake…Sasa mara wakague kague pale waitane mara Sijui bumper imekuaje mara mafuta ya sheli Fulani yanakaa sana ilimradi tu Fujo pale…Sasa mimi nikisikia hivyo nataka niwajibu kwamba nami nimo
 
Wawili walinunua mwaka jana,mmoja alivyorudi kutoka likizo mwezi wa kwanza kaja nalo..Wa mwisho ambaye alikuwa ananipa company tupo wote last week ndo kaja nalo ka kadi ya gari ina jina lake…Sasa mara wakague kague pale waitane mara Sijui bumper imekuaje mara mafuta ya sheli Fulani yanakaa sana ilimradi tu Fujo pale…Sasa mimi nikisikia hivyo nataka niwajibu kwamba nami nimo
Hao wa mwaka jana ilikuwa ni mwezi mmoja au?
 
Back
Top Bottom