Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

Uncomfortable situation ni ishara inayokuonesha sasa unahitaji mabadiliko ya kutoka hatua moja kwenda sehemu nyingine kimaisha.

Wengi tunakosea hatua hii kwa kuchagua maamuzi yasiyo sahihi ili ku impress watu na ndo mwanzo wa kupoteza mwelekeo.

Ushauri wangu; jikumbushe mawazo uliyokuwa nayo kabla ya kuwa na hiyo pesa then yatumie hayo mawazo kuizalisha hiyo pesa. Nunua hata pressure compressor uwe unawajazia upepo wanakulipa pesa. Ikiwezekana unanunua na vifaa vya car wash, kila wikend wao pesa itawatoka nawe pesa itaingia.

Don’t give a damn abt a people bro nobody is care about you. A worst mistake is to let someone to drive your fu*n life.
 
None of the above.Gari sio priority yako kwa sasa.Jenga Uhamie kwako kama unaona Jau
 
Samahani kwa maswali mengi mkuu ila nahitaji kujua hili kiundani Ili niweze kukushauri vizuri.
Ilikuwa ni mwezi upi na upi?

Wawili mwaka jana,wawili January na mwingine February
 
Wanajamii humu, nimatarajio yangu mko poa.

Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices, ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa Sinza hapa Dar, nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano. Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari, sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi, nina option zifuatazo.

Naomba mnisaidie kimawazo.

1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.

2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank, nyingine nikope ili namimi niendane nao.

Which Is best option?
Kwa hiyo ukiamua kuhama kutoka hapo unapoish utakuwa ukitafuta nyumba ya kupanga huku ukimwekea mashsrti mwenye nyumba ya kuwa ili upange kwake ni lazima asiwe na wapangangaji wenye magari? Pia asiruhusu mpangaji mwenye gari kupanga katika nyumba hiyo kwa sababu wewe umepanga?

Acha utoto fanya yako acha maisha ya kuigiliza.
 
Wanajamii humu, nimatarajio yangu mko poa.

Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices, ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa Sinza hapa Dar, nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano. Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari kasoro peke yangu tu hapo sina gari, sasa mimi ninaona jau sana halafu tabia ya kuwa chawa sipendi, nina option zifuatazo.

Naomba mnisaidie kimawazo.

1. Nihame hapo kuepukana na huo unyonge japo nimepazoea.

2. Namimi ninunue gari maana nina kaakiba kangu kama milioni nne bank, nyingine nikope ili namimi niendane nao.

Which Is best option?
Kabla sijatoa ushauri naomba kujua Umesoma mpaka darasa la ngapi?
 
Bro sio poa…Ni rahisi kusema.Wote asubuhi wanaondoka na ndinga zao mimi nachukua boda kweli?
Naelewa unachopitia, kuna jamaa yangu mmoja ni mfanyakazi wa Tanesco hapa nilipo. Na yeye pia alinunua gari kwa kulazimisha kisa wenzake wote wamenunua magari ili kukwepa unyonge.

Lakini kwa sasa gari inamnyonya sana maana inambana sana na anashindwa kufanya hata maendeleo. Kuhudumia gari kama una kipato cha kuunga unga ni mtihani.
 
Kingine nikuulize, hao jamaa zako wana magari ya aina gani? Na je walinunua kwa mtu au USED nje?

Mie nina miaka 25, hadi sasa nimeshamiliki magari 11 kwa nyakati tofauti, japokuwa kwa sasa nina magari matatu kwa pamoja.

Ni mwaka sasa nimepanga naishi kwa kujitegemea japokuwa ilikuwa ngumu kuondoka home.
 
Back
Top Bottom