Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipi ndugu?Nachotaka kujua hivi sheria inasemaje kuhusu kujenga juu ya bomba la maji?Fuateni sheria...
Fafanua boss bomba la mradi wa serikali au binafsiMdogo wangu amejikusanya na kununua kauwanja anakotaka kujenga nyumba ya kuishi ajabu wakati mafundi wanachimba msingi wamekutana na bomba kubwa la maji hali ambayo hatukuitarajia!Wadau tunaomba ushauri wa kisheria wa nini kifanyike
Mahali ambapo hilo shamba lilinunuliwa na ambapo kwa sasa watu tayari wamegeuza kama viwanja na kuanza kujenga nyumba za heshima kwa mbele kuna kijiji!Hilo bomba linapeleka maji kijijini!Lina ukubwa wa mpapai!Fafanua boss bomba la mradi wa serikali au binafsi
Ni bomba la serikali linapeleka maji kijiji jiraniFafanua boss bomba la mradi wa serikali au binafsi
Ukishasikia bomba kubwa jua ni mradi wa serikaliFafanua boss bomba la mradi wa serikali au binafsi
Huyu wangu kaenda kupigiwa gharama za hati kaambiwa milioni 7!Kauliza sababu akajibiwa kuwa yuko mbali sana na eneo lililopimwa!Hadi katolewa mfano eti ni sawa na abiria mmoja anaenda kukodi basi la abiria 100,limpeleke yeye peke yake toka DAR hadi BukobaNajifunza hapa. Nina rafiki yangu aliuziwa kiwanja baadae akaambiwa chini kuna bomba la maji limepita. Wakamshauri akashughulikie hati kwanza ndiyo aweze kulitoa kwa gharama ya serikali juzi tu aliniambia kapata hati. Nasubiri anipe mrejesho.
Ni la serikali,liliwekwa kwa nguvu ya wanakijiji ndiyo maana limekatiza kwenye maeneo ya watu!Ukishasikia bomba kubwa jua ni mradi wa serikali
Hapo wewe ndiye umelifwata bomba na sio bomba limekufwata. Ingekua bomba limekufwata ungelipwa fidia au wangepitisha bomba route ingine.Mdogo wangu amejikusanya na kununua kauwanja anakotaka kujenga nyumba ya kuishi ajabu wakati mafundi wanachimba msingi wamekutana na bomba kubwa la maji hali ambayo hatukuitarajia!Wadau tunaomba ushauri wa kisheria wa nini kifanyike
"...kwa nguvu za wanakijiji..."Ni la serikali,liliwekwa kwa nguvu ya wanakijiji ndiyo maana limekatiza kwenye maeneo ya watu!
Eti kaka mnashauri nini kifanyike?Jamaa anafikiria ajenge hivyo hivyo maana jirani yake amefumba macho na kujenga juu yake"...kwa nguvu za wanakijiji..."
Siku ikitokea shida utaisoma namba.
Duuhh!Sasa bosi nini kifanyike maana jamaa aliyemuuzia kisha kunja mkwanja sh.10,000000!Hataki kusikia chochote anadai yeye hilo shamba aliachiwa na baba yake na hana taarifa ya uwepo wa hilo bomba.Hapo wewe ndiye umelifwata bomba na sio bomba limekufwata. Ingekua bomba limekufwata ungelipwa fidia au wangepitisha bomba route ingine.
Kwa maelezo yako hilo ni bomba la inch 3 au 4, sasa ukijenga juu yake alafu likapata hitilafu huoni nyumba yako itaweza pata shida pia?...
Hoja ya msingi ni nani kamfwata mwenzake? Je ni bomba au mnunuaji kiwanja, jibu ni mnunuaji kiwanja.Eti kaka mnashauri nini kifanyike?Jamaa anafikiria ajenge hivyo hivyo maana jirani yake amefumba macho na kujenga juu yake
Kuna siku watakutoeni hata ikipita miaka kumiZipi ndugu?Nachotaka kujua hivi sheria inasemaje kuhusu kujenga juu ya bomba la maji?