mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
- Thread starter
- #41
hili ni jukwaa huru 😂 afu hamna vitu mnaongea mi sivijui.... 19 yrs nimekula chumvi...Naogopa kukoseana heshima na wanangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili ni jukwaa huru 😂 afu hamna vitu mnaongea mi sivijui.... 19 yrs nimekula chumvi...Naogopa kukoseana heshima na wanangu.
Jukwaa huru.. Akili kichwani mwakohili ni jukwaa huru 😂 afu hamna vitu mnaongea mi sivijui.... 19 yrs nimekula chumvi...
msishangae.... nina uhakika kuna madogo wa 13yrs wanapitapita humu 😂 mi nilikua nasomasoma threads humu tokea niko 14 bado sina accountJukwaa huru.. Akili kichwani mwako
ugali wa shikamooo 😂Muulize kwanza miaka 19 analewa, pesa anatoa wapi?
Watakuwepo lazima.msishangae.... nina uhakika kuna madogo wa 13yrs wanapitapita humu 😂 mi nilikua nasomasoma threads humu tokea niko 14 bado sina account
kwahiyo tukikutana kwenye zile threads zetu tunaendelea vilevile 😂 au unasemaje....Watakuwepo lazima.
asante sana bro.....simple tu, kaa mbali na marafiki wenye tabia ambayounaona kwako haifai,
 hawa wazee wa Jf wasikufanye ujione mdogo kwakua wao age imekata maana wengi wao hata pesa hawana ila umri wao ni mkubwa,ila kwa umri wako huo ni mzuri kutumia jukwaa la Jf kama kijijenga kimawazo na kimtazamo
Washa kitu wewe shetani ahepe acha ubwegeMimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu hazitozaa matunda.....
Kwa muda mrefu sasa, marafiki zangu nawaona wanachukulia hii ishu kawaida sana..... Tukiwa kwenye mitoko, hawawezi acha kulewa ovyo, kuvuta bangi na shisha, na ku-vape. Kwa mtazamo wao, ni kitu cha kawaida sana, na wanaona kama hakuna madhara yoyote yanaweza kutokea. Wanasema 'wanakula ujana', 'wanamwagilia moyo'.....
Miaka mingi sasa tumekua tukiishi haya maisha.... kwenda maclub weekend na 'kula bata'. Mimi nimekua nikijizuia mno...... nazugazuga chupa moja nainya hata masaa 2-3.....
Unaweza sema niko kwenye makundi mabaya, lakini mimi sioni hivyo.... hawa ni marafiki zangu wa muda mrefu, tumekua tukisaidiana sana, sema hapo kwenye mambo ya starehe ndo tunatofautiana.....
Pia ndugu, ukizingatia kwamba mimi ni mchaga(kote upande wa baba na mama), wanatumia sana haya mazaga na wamekua wakinishawishi sana, na hata wengine kuonyesha dharau.... Nakumbuka kuna siku nilitoka na bamkubwa nikakataa kunywa pombe.... alicheka sana na kunishangaa.....
Najua wengine mnaweza sema hakuna shida yeyote kwenye kutumia kidogo, lakini kama nilivosema..... mimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma. Nimeona watu wengi wakiharibikiwa kwasababu ya pombe na bangi....
Najua humu JF watu wazima mko wengi, naomba mnishauri..... Kuna namna ya kubalance maisha ya kawaida na hizi starehe?? Au niendelee kukaa navyo mbali.... na ikiwa hivyo, nitumie mbinu gani??
ishaenda miaka 6 imepita 😂
Jamanishaenda miaka 6 imepita 😂
Watoto wa 2000s[emoji23]Jaman
Ko unamaanisha aache hivo vitu sahizi, then aje awe mvuta bangi na mlevi hapo baadae akishakuwa na familia na watoto ama [emoji848][emoji848]Achana na hayo makitu kwa sasa. Utafanya baadae sasa hivi utaharibikiwa mchana kweupe
Sijasema natumia hivo vitu, ila mazingira hayo nimeanza kukutana nayo nikiwa 14....Una miaka 19 alafu unatuambia ni miaka mingi Sana umeanza kuishi hayo maisha ya kulewa na kuvuta bangi, ko we umeanza kuvuta bangi na kulewa ukiwa na miaka mitano ama????
k19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena
kwahiyo haruhusiwi kutumia JF kwa sababu ana miaka 19?19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena.
Nahisi natakiwa kuangalia mada za kuchangia. Nyingine zinipitek
kwahiyo haruhusiwi kutumia JF kwa sababu ana miaka 19?