Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sihitaji kurudi nyuma tena, hakuiona thamani yangu alitesa sana hisia zangu, na nimejua hakua ananipenda kweli, apambane tu na hali yake kwakwelimsikilize kwa kweli hii situation tunakutana nayo sana wanaume kwa sababu finally unakuja kugundua mwanamke bora kwako kwa kuoa na kuishi naye ni yule anayekupenda so please jaribu kumwambia kama angalau anataka kukuona kupima kama yupo serious sana ..
pleas rudisha moyo nyuma hii inatokea kabisa na ni majuto sana kwa sisi wanaume.
sawa ntafanya hivyo mkuuMahusiano ya kurejeana mara nyingi yanasababishwa au visasi sikushauri kurejeana nae, kuhusu aibu jaribu kuongea naye vizuri na hata umwambie boss wako yaliyotokea.
Ikiwa ngumu kamripoti ukicheka na mbwa.....
sasa huoni kaona una maana fikiria mara 2 jamani ndo life hilo...Hope ipo siku nawe utarudisha moyo nyuma jaribu kufikiria makosa yapo tu ndo changamoto za mahusiano na ndoa hizo .sihitaji kurudi nyuma tena, hakuiona thamani yangu alitesa sana hisia zangu, na nimejua hakua ananipenda kweli, apambane tu na hali yake kwakweli
sidhani kama tabia yake ndo itabadilika nkirudiana naesasa huoni kaona una maana fikiria mara 2 jamani ndo life hilo...Hope ipo siku nawe utarudisha moyo nyuma jaribu kufikiria makosa yapo tu ndo changamoto za mahusiano na ndoa hizo .
Hutaki de libolo lake tena jamani😲out tena?, sitaki ukaribu na yeye tena
Wanasema wao wanapenda tall dark and handsome🤣🤣🤣🤣Tatizo mkitongozwa na wanao wapenda hamtaki..mnaenda kuwatega wasio wapenda na kujitongozesha ili wawatongoze... Badilikeni bhana
Akauoe sasa wengi waliorudiana wanaishi poa ...Ni kwamba kazunguka kaona hamna la maana basi kiranga kimeisha atatulia tu..sidhani kama tabia yake ndo itabadilika nkirudiana nae
We Jamaa una Akili SanaAkauoe sasa wengi waliorudiana wanaishi poa ...Ni kwamba kazunguka kaona hamna la maana basi kiranga kimeisha atatulia tu..
jamaa atakuwa yupo serious sana maana dunia hii unaweza kuzunguka ukakuta mambo yale yale lazima akili ikae sawa...We Jamaa una Akili Sana
Ya surejamaa atakuwa yupo serious sana maana dunia hii unaweza kuzunguka ukakuta mambo yale yale lazima akili ikae sawa...
Be very careful about being sanctimonious, or overly judgmental.Tatizo mkitongozwa na wanao wapenda hamtaki..mnaenda kuwatega wasio wapenda na kujitongozesha ili wawatongoze... Badilikeni bhana
Napinga hojamsikilize kwa kweli hii situation tunakutana nayo sana wanaume kwa sababu finally unakuja kugundua mwanamke bora kwako kwa kuoa na kuishi naye ni yule anayekupenda so please jaribu kumwambia kama angalau anataka kukuona kupima kama yupo serious sana ..
pleas rudisha moyo nyuma hii inatokea kabisa na ni majuto sana kwa sisi wanaume.
Amini mkuu nakuambia hii inatokea sanaNapinga hoja
Limekuwa chungu 🤣🤣🤣🤣sitaki