Naombeni ushauri wenu kwenye hili

Naombeni ushauri wenu kwenye hili

Ulikosea sana kumtega ili akutongozee

Alikuwa hakupendi

Cha kukushauri ni mwelezee bosi wako full scenario ili mambo yasije kuvurugika mbeleni ila ila ila ila ila ila usikae kumrudia huyu mwanaume utajijengea kaburi lako

Yangu ni hayo tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nakazia
JamiiForums1709643988.jpg
 
Kimsingi umeshauriwa mengi. Nami naungana na wachangiaji waliosema huyo mpuuzi hakufai.

Hisia zako zilikudanganya, ukajirahisisha ili uwe nae. Kama ninavyosema hapa kila siku na leo narudia, sisi wanaume huwa hatukatai mwanamke. Ukijileta lazima tule mbususu haijalishi tunakupenda au la. Hilo ndilo lilikua kosa lako.

Sasa umepona. Yaliyopita si mdwele. ACHANA NAE
 
Habari wana jf,

Niende moja kwa moja kwenye mada, toka mwaka 2020 kuna mwanaume nilikua nampenda sana in short hata mahusiano yetu ni mimi ambaye nlichochea anitongoze.

Nilikua najua mahali alipokua anafanya kazi kwahiyo ilikua rahisi kwangu kumwekea mitego mpaka aliponitongoza mwenyewe.

Mwanzo wakati tunaanza mahusiano alikua akinipenda na kunijali sana, kiukweli nilikua nampenda sana na sikuwahi hata siku moja kumdanganya wala kumsumbua kwa namna yoyote ile wala sikuwahi hata kumwomba au kutumia hela zake ni vile tu nilikua sitaki kuwa mzigo kwake.

Lakini ghafla tu akabadilika nikimpigia simu hupokei na ikitokea amepokea ananiambia subiri nitakupigia siku inaisha nikimsumbua sana anaweza akapokea na asiongee.

Nilikua naweza nikatuma sms ikajibiwa baada hata ya siku mbili au tatu, kwasababu ya mimi kuwa busy sana na kazi nilikua nashindwa kwenda kumuona ofisini kwake.

Nilivumilia ile hali kwa karibu mwezi mzima, nilivyopata tu likizo nikasema nimtafute tuongee nijue shida nini lakini kila nikiomba appointment napewa kalenda.

Aliniblock kawaida na WhatsApp nliumia sana, kuna siku nikafanya tu suprise kwenda nyumbani kwake usiku kwavile anaishi mwenyewe nikamkuta yupo na mwanamke na jinsi walivyokua wamevaa huwezi ukasema ni dada au ndugu yake.

Alinifukuza na kuniambia hanijui kabisa kiukweli nililia sana na niliumia sana, kama wiki hivi iliisha sikumtafuta na kuna mwanamke alikua kila siku ananitumia sms za matusi na kuniambia nikae mbali na mpenzi wake.

Japo niliumia lakini nikasema isiwe shida nkaamua nikae kimya na nika move on kabisa, toka yametokea hayo yote mwezi wa sita sasa lile tukio nishalisahau kabisa na nipo naendelea na kazi na mambo yangu mengine.

Nashangaa leo mtu anakuja ofisini na watu wengine wawili wanadai eti ni kaka zake wamekuja kuniomba msamaha eti hadi analia, kwa kuondoa aibu nliomba tu ruhusa nikatoka nao kwenda kuongea nao nje kidogo na ofisini.

Anasema nisipo mkubalia atakua anakuja kila siku kazini kwangu na atahakikisha ananichafulia cv yangu pale ofisini.

Kiukweli wamenidhalilisha sana kwasababu ofisini kila mtu ananiona mtu wa maana na ni mtu ambaye hata sijawahi kuwa na skendo zozote mbovu najiskia aibu hata boss nitamueleza nini, nimemkatalia lakini haelewi.

Naombeni msaada wenu wakuu natakiwa kufanya nini maana sielewi huyu mtu amepanga kunifanyia kitu gani.

Natanguliza shukrani [emoji120]
Chukua SMS kama ushaidi au mrekod nendaa polisi ukilifumbia macho hili nakuahidii kazi utaikosaa na utajutia maisha yako yote huyo akupendi Ila amekuwa broken na maisha anataka farja na kitonga toka kwako
 
Habari wana jf,

Niende moja kwa moja kwenye mada, toka mwaka 2020 kuna mwanaume nilikua nampenda sana in short hata mahusiano yetu ni mimi ambaye nlichochea anitongoze.

Nilikua najua mahali alipokua anafanya kazi kwahiyo ilikua rahisi kwangu kumwekea mitego mpaka aliponitongoza mwenyewe.

Mwanzo wakati tunaanza mahusiano alikua akinipenda na kunijali sana, kiukweli nilikua nampenda sana na sikuwahi hata siku moja kumdanganya wala kumsumbua kwa namna yoyote ile wala sikuwahi hata kumwomba au kutumia hela zake ni vile tu nilikua sitaki kuwa mzigo kwake.

Lakini ghafla tu akabadilika nikimpigia simu hupokei na ikitokea amepokea ananiambia subiri nitakupigia siku inaisha nikimsumbua sana anaweza akapokea na asiongee.

Nilikua naweza nikatuma sms ikajibiwa baada hata ya siku mbili au tatu, kwasababu ya mimi kuwa busy sana na kazi nilikua nashindwa kwenda kumuona ofisini kwake.

Nilivumilia ile hali kwa karibu mwezi mzima, nilivyopata tu likizo nikasema nimtafute tuongee nijue shida nini lakini kila nikiomba appointment napewa kalenda.

Aliniblock kawaida na WhatsApp nliumia sana, kuna siku nikafanya tu suprise kwenda nyumbani kwake usiku kwavile anaishi mwenyewe nikamkuta yupo na mwanamke na jinsi walivyokua wamevaa huwezi ukasema ni dada au ndugu yake.

Alinifukuza na kuniambia hanijui kabisa kiukweli nililia sana na niliumia sana, kama wiki hivi iliisha sikumtafuta na kuna mwanamke alikua kila siku ananitumia sms za matusi na kuniambia nikae mbali na mpenzi wake.

Japo niliumia lakini nikasema isiwe shida nkaamua nikae kimya na nika move on kabisa, toka yametokea hayo yote mwezi wa sita sasa lile tukio nishalisahau kabisa na nipo naendelea na kazi na mambo yangu mengine.

Nashangaa leo mtu anakuja ofisini na watu wengine wawili wanadai eti ni kaka zake wamekuja kuniomba msamaha eti hadi analia, kwa kuondoa aibu nliomba tu ruhusa nikatoka nao kwenda kuongea nao nje kidogo na ofisini.

Anasema nisipo mkubalia atakua anakuja kila siku kazini kwangu na atahakikisha ananichafulia cv yangu pale ofisini.

Kiukweli wamenidhalilisha sana kwasababu ofisini kila mtu ananiona mtu wa maana na ni mtu ambaye hata sijawahi kuwa na skendo zozote mbovu najiskia aibu hata boss nitamueleza nini, nimemkatalia lakini haelewi.

Naombeni msaada wenu wakuu natakiwa kufanya nini maana sielewi huyu mtu amepanga kunifanyia kitu gani.

Natanguliza shukrani [emoji120]
Kakae na viongozi wako wa ofisini waeleze kama ulivyotueleza hapa.

Watakusaidia pakubwa mno.
Husithubutu kurudiana na huyo mjinga na muhuni. Ukifanya hivyo utakuwa unapita kwenye njia ya miba usiku ili hali hiyo miba ulishaiona mchana.
 
Huwa mnadate watoto wadogo kwanini?sasa mambo ya kufatana kazini ndo nini!??kamshtaki polisi mbona easy tu
 
Hiyo ndiyo faida ya shobo watu wanapita na wewe then wanalala mbele kwa kifupu mwamba anajua wewe ni dhaifu kwake..
 
Habari wana jf,

Niende moja kwa moja kwenye mada, toka mwaka 2020 kuna mwanaume nilikua nampenda sana in short hata mahusiano yetu ni mimi ambaye nlichochea anitongoze.

Nilikua najua mahali alipokua anafanya kazi kwahiyo ilikua rahisi kwangu kumwekea mitego mpaka aliponitongoza mwenyewe.

Mwanzo wakati tunaanza mahusiano alikua akinipenda na kunijali sana, kiukweli nilikua nampenda sana na sikuwahi hata siku moja kumdanganya wala kumsumbua kwa namna yoyote ile wala sikuwahi hata kumwomba au kutumia hela zake ni vile tu nilikua sitaki kuwa mzigo kwake.

Lakini ghafla tu akabadilika nikimpigia simu hupokei na ikitokea amepokea ananiambia subiri nitakupigia siku inaisha nikimsumbua sana anaweza akapokea na asiongee.

Nilikua naweza nikatuma sms ikajibiwa baada hata ya siku mbili au tatu, kwasababu ya mimi kuwa busy sana na kazi nilikua nashindwa kwenda kumuona ofisini kwake.

Nilivumilia ile hali kwa karibu mwezi mzima, nilivyopata tu likizo nikasema nimtafute tuongee nijue shida nini lakini kila nikiomba appointment napewa kalenda.

Aliniblock kawaida na WhatsApp nliumia sana, kuna siku nikafanya tu suprise kwenda nyumbani kwake usiku kwavile anaishi mwenyewe nikamkuta yupo na mwanamke na jinsi walivyokua wamevaa huwezi ukasema ni dada au ndugu yake.

Alinifukuza na kuniambia hanijui kabisa kiukweli nililia sana na niliumia sana, kama wiki hivi iliisha sikumtafuta na kuna mwanamke alikua kila siku ananitumia sms za matusi na kuniambia nikae mbali na mpenzi wake.

Japo niliumia lakini nikasema isiwe shida nkaamua nikae kimya na nika move on kabisa, toka yametokea hayo yote mwezi wa sita sasa lile tukio nishalisahau kabisa na nipo naendelea na kazi na mambo yangu mengine.

Nashangaa leo mtu anakuja ofisini na watu wengine wawili wanadai eti ni kaka zake wamekuja kuniomba msamaha eti hadi analia, kwa kuondoa aibu nliomba tu ruhusa nikatoka nao kwenda kuongea nao nje kidogo na ofisini.

Anasema nisipo mkubalia atakua anakuja kila siku kazini kwangu na atahakikisha ananichafulia cv yangu pale ofisini.

Kiukweli wamenidhalilisha sana kwasababu ofisini kila mtu ananiona mtu wa maana na ni mtu ambaye hata sijawahi kuwa na skendo zozote mbovu najiskia aibu hata boss nitamueleza nini, nimemkatalia lakini haelewi.

Naombeni msaada wenu wakuu natakiwa kufanya nini maana sielewi huyu mtu amepanga kunifanyia kitu gani.

Natanguliza shukrani [emoji120]
Kwanza pole sana

Pili sio kosa kumpenda mtu na kumuonyesha hisia zako kwake

Tatu huyo mtu hana mapenz ya dhati kabisa na ww inaonesha dhairi ndo maana yupo tayar kukuchafua na kukuharibia sifa yko. Anajua hata ukiwa na sifa mbaya kwenye jamii yy haitamhusu maana haitatokea akakufanya kuwa mke wa maisha yke na mama wa familia yke ila anachohitaj kwa sasa aendelee kukuvua na kukutumia kumaliza haja zake za mwili baada ya hapo nahis atakuacha vibaya zaid kuliko mwanzo.

Mwisho sina cha kukushauri juu ya maamuzi gani uchukue ila tu nakushauri CHUKUA MAAMUZI UNAYOHISI WW NI SAHIHI KATIKA MAZINGIRA YAKO, ONGEA NA NAFSI YKO UTAPATA JIBU SAHIHI MAANA NAFSI YKO NDO RAFIKI YKO KIPENZI KULIKO YOYOTE HAPA DUNIANI.

ANGALIZO: USIJIUE WALA KUJIDHURU.
 
Inawezekana [emoji817] alokuwa ana starehe naye mwanzo kaachana naye, hivyo kakufata wewe back up kwake, siku wakirudiana au akapata mpya atakuacha Kama mwanzo, Mpotezee.
 
Huyo jamaa ni mpuuzi!!na kwa kua ulijitongozesha anaamini bado una chembechembe za upendo kwake,thats strange!!!anakuchukulia wew ni backup,get back to him and die young!
 
Huyo jamaa ni mpuuzi!!na kwa kua ulijitongozesha anaamini bado una chembechembe za upendo kwake,thats strange!!!anakuchukulia wew ni backup,get back to him and die young!
nishamove on rafiki yangu, nishaachana nae kabisa na amekiri hatakuja kunisumbua tena ,am now living my life
 
Back
Top Bottom