secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Ww ndio umeongea point wengine wote wameandika ushizi humuVery sad indeed. Hii inaweza kuwa stori ya kutunga lakini ina ujumbe mzito sana.
Mhitimu wa chuo kikuu anauza maji barabarani, jambo la ajabu sana.
Na wengine wanakudhihaki humu na kushangilia kwamba wacha likome na madigrii yake!
Tumekuwa na jamii ya ajabu sana ambayo inaona ni jambo la kawaida muhitimu wa chuo kikuu kuwa muuza makopo!?
wazo zuri mtoa mada ashindwe yeye tuingia road
vaa mask
piga kazi
Huu sasa umekuwa ugonjwa sugu, vijana wengi wanapomaliza f6 wanafurahi kwenda chuo bila kujali kozi gani na future yake. Bora tu aingie chuo apate degree mradi tu ana vigezo. Lakini pia vyuo nao wanatoa kozi bila kuangalia soko la ajira, mradi wapate wanafunzi.Very sad indeed. Hii inaweza kuwa stori ya kutunga lakini ina ujumbe mzito sana.
Mhitimu wa chuo kikuu anauza maji barabarani, jambo la ajabu sana.
Na wengine wanakudhihaki humu na kushangilia kwamba wacha likome na madigrii yake!
Tumekuwa na jamii ya ajabu sana ambayo inaona ni jambo la kawaida muhitimu wa chuo kikuu kuwa muuza makopo!?
Zege na beba kule chini mkuu au kwenye mikonoWw mbona unaonekana kazuri .......
ukibeba zege si utaharibu kule kwenye ninii...
kutakomaa kule
Kule chini kabisaZege na beba kule chini mkuu au kwenye mikono
AiseeKule chini kabisa
Utabebaje vitu vizito mtoto wa kike!!??Aisee
Maisha ndio yamepelekea ni bebe vitu vizitoUtabebaje vitu vizito mtoto wa kike!!??
wengi tumepitia kwenye matatizo kama hayo kama hutojali njoo pm ntumie no yako niwe nakutumia magari ukiuza unapata hela yakoHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Hapana bana hutakiwi kufanya hivyo.....Maisha ndio yamepelekea ni bebe vitu vizito
Sawa sihitaji kuwa ombaombaHapana bana hutakiwi kufanya hivyo.....
Unajibu kishujaa sana.Ndio ee mademu sunajua barabarani wakiwa kwenye daladala wanakuona kwenye madirisha
Tafuta kazi nyingine......Sawa sihitaji kuwa ombaomba
Nitafutie kaziTafuta kazi nyingine......
kule vumbi ikiingia mara kwa mara kunaharibika
Nitakutafutia......Nitafutie kazi