Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Unapokuwa kwenye shughuri yako Futa kichwani mwako hii " nina degree kutika UDSM" hautojihisi aibu.
 
Wewe unadanganya sio graduate. Kama ni graduate kweli then shule haijakusaidia kimawazo na kimtazamo. Sasa wewe huna kitu halafu unapewa msaada halafu unaanza kukosoa basi toka hapo kwa broo ukapambane kupata unachokipenda.
 
Kuna maneno yanadhihirisha kuwa hauko serious.
........na mimi ninunue ata chips na pepsi niji......

......pesa n za kaka ang....

......eti nikauze maji kwenye mataa ya.....

.......amesahau kuwa nina degree.....

Ushauri wangu kwako
Nina miaka 26 tu bado mdogo najivunia
 
Wewe degree ulioipata hajakusaidia utamwambiaje kaka yako issue kama hiyo. Unataka kugombanishe kati ya mke na kaka yako.
Hayo mambo anafanya mtu wa shule ya msingi
Shemeji anakera haendi Nile kwa kaka
 
Wewe unadanganya sio graduate. Kama ni graduate kweli then shule haijakusaidia kimawazo na kimtazamo. Sasa wewe huna kitu halafu unapewa msaada halafu unaanza kukosoa basi toka hapo kwa broo ukapambane kupata unachokipenda.
Kuuza maji siwezi nina degree
 
Shida ikikupata hata kupiga dai viatu utaiomba kwa kujaza fomu ya maombi.
 
Huu utani sasa, kwamba na wewe una degree?????
Kuanzia leo mimi sina degree yoyote. Pathetic
 
Nunua sun google kuubwa vaa na bonge la pama then zama road dear graduate [emoji310]...tatizo chuo boom ulihonga so unaogopa mademu zako wa first Yr watakuona.
 
Ushauri tafadhari
Ushauri wangu nenda kajifunze kuandika, uanze kuandika kama mtu aliyemaliza chuo, baada ya hapo tafuta barakoa kubwa na kapelo Mungu usinione vaa ingia mtaani uza maji unaowaonea aibu hawatakutambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…