Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Ushauri wangu nenda kajifunze kuandika, uanze kuandika kama mtu aliyemaliza chuo, baada ya hapo tafuta barakoa kubwa na kapelo Mungu usinione vaa ingia mtaani uza maji unaowaonea aibu hawatakutambua
Sijawahi wala sijazoea kufanya kazi kwenye jua kali nina matatizo ya kichwa kuuma na macho pia
 
Ukilala njaa huta tuuliza mkuu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mshkaji ana degree ya education,anauza korosho pale maeneo ya Africana ,barabara ya bagamoyo, na maisha yake yanaenda vizuri tu, sikuhamini siku niliyomuona
Yupo jamaa nilitambulishwa na mshikaji wake Wote ni degree holders wa education,mmja ni fundi mbao na mwingine anaosha magari kwa matambala ..

Sasa wewe mwenye aibu endelea kuwa na aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…