Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezidisha utani zaidiNimeamua kuwa mkweli na muwazi Kosa langu liko wp
Niliunga juzi cha wikipesa ya bando kakupa nani?..........
Nina elimu mkuu ila nimeamua kubeba Zege.Huyo hana elimu ndomana anakuwa kuli
Vipi nikikutana na tuliosoma naoLife start at zero,weka vyeti pembeni ukitaka kutoka
Tafuta Kazi ya ulinzi ndio inaokoa wengi wakati ukisikilizia michongo mingineNiko serious usilete utani
Tatizo sijazoeaingia road
vaa mask
piga kazi
Leo ukunywe hizo energy....kila siku 1 caton....utatoboa hata 10 days....then rudi hapa ukiwa emty kabisaNiliunga juzi cha wiki
Hiyo kazi yako bora sio hii ya majiAcha ujinga ww mie nimeuza nyama za kuku miwa mafuta ya taaa Tena bila kupewa mtaji huyo Kaka yako anahuruma Sana ningekua Mimi ningekulipia na chumba miezi mitatu nakuwekea na godoro hapo tumemaliza
Dah,we ni comedian auHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Changamoto ilianza majuzi huyu shemeji Ana roho mbaya kweli kumbe kipindi chote kaka angu huwa anampa 2000 ili anipe pesa ya msosi afu yeye anakata ananipa buku, nilikuja kugundua juzi broo aliposema kwa sauti nanukuu.,(hiyo buku mbili utampa dogo ya msosi) nikasema afadhari nitanunua namm Leo chips [emoji489] na Pepsi nijimwayemwaye, Sasa chaajabu shemeji akaja kunipa buku tu hapo tukaanza kugombana sasa akaanza kunifyezuri na kunifedheshesha mbele ya majirani wa kizaramo wavaa vijora, akisema tena kwa sauti ati amenichoka najaza kitambi tu kazi Sina nabweteka Kati pesa nizakaka angu.
Jana ilibidi yote nimwambie broo huku nikiwa na hasira sana kuliko mwanaume aliyemfumania mkewe . Broo akaniambia yote yaishe atanipa mtaji wa kazi.
SASA chaajabu Leo asubuhi naona ameniletea maji ya uhai kama Dazani tano hivi na MO energy kama dazani saba eti anasema nisimame kwenye mataa ya Sudani Temeke nianze kuuza huku nimebeba mimaji kichwani amesahau kuwa mimi nina degee kutoka UDSM chaajabu hajaniachia hata sent mpaka mdaa huu sielewi nakula nini wenyewe wameenda kazini, naombeni ushauri nifanyeje.
Tatizo hii kazi sijazoea afu uso umeumbwa na hayaKijana unayaonea aibu maisha??!!haha subiri kikukute kitu utajua hujui
Uzuri mimi bado mdogoMiasha ya kibongo kama una wakukupa michongo, na kwenu ni kazatwende ni lazima ufyatue nuts kazaa kichwani ili upate njia ya kuanzia bila ivyo utafika 40 ukiwa uamin kama maisha yamekukataa.....
Ingia kazini chap unaweza kosa kazi 7yrs utakula Kwa kaka tu???Niliunga juzi cha wiki
NdioKweli hyo degree ni ya Yudizim
Uzuri mm bado mdogo so mambo yatakaa SawaBado hijabondwa bondwa na life.
Akachukulie mkopo Kwa mangi hiyo degree ndipo atajua kuwa Hana shule kabisa nyambafutatizo sio kuwa na Degree je una degree ya nini maana degree nyingine ni majanga tu
Kuna mshkaji ana degree ya education, anauza korosho pale maeneo ya Africana, barabara ya bagamoyo, na maisha yake yanaenda vizuri tu, sikuamini siku niliyomuona.Uzoefu utaupata hapo hapo au unaona aibu madem mliosoma nao wakikuona watakucheka au?