Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #81
Acha utani nipo serious mkuuHizo dazani za Uhai nakushauri uogee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani nipo serious mkuuHizo dazani za Uhai nakushauri uogee.
Endelee kuuza maji au kama vipi fungua tuisheni fundisha hata watoto wadogo kwa kiasi cha mia mbiliPolitical science and public administration
Ndiyo nakushauri, shemeji yako siku akikunyima hiyo buku na usiku wawe wanarudi saa nne usiku wakiwa wameshiba kabisa, siku mbili utanyoosha maelezo kabisa na ikifika wiki ndiyo kabisa.Nishaur ndugu
Kila jambo lina siku yake ya kwanza.Tatizo sijazoea
Hapana mkuu ila kama unamishe please nishtueJikaze mkuu utazoea tu
Hiyo kozi huu mwaka wa 10 sijawai kuona tangazo la kaziPolitical science and public administration
Umesoma course gani mkuu?Habari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Acha utani mkuu nipo serious nateseka kijana mwenzenuUshauri wangu ni kwamba ili usione aibu fumba macho uone Giza!!
Sijasomea ualimuendelee kuuza maji au kama vipi fungua tuisheni fundisha ata watoto wadogo kwa kiasi cha mia mbili
Political science and public administrationUmesoma course gani mkuu?
Tuanze na hapa
Tz kuna kozi uchwara nyingi bora zifutwe tuhiyo kozi huu mwaka wa 10 sijawai kuona tangazo la kazi
Hivi elimu ya sasa hivi kweli inawajenga vijana wetu au inawapoteza kabisa,kwa akila yako ya chuo unaona uwezi kuuza maji,sasa wewe endelea kujiona una degree na utabaki kula iyo degree uliyonayo,sasa hivi usomi ili upate kazi unasoma ili upanue ubongo ebu weka degree pembeni na ikiwezekana hata hivyo vyeti kusanya fungia kabatini, chukua hayo maji na hizo energy anza kuuza bila aibu,hao unaowaonea aibu ni watu kama wewe ukiwa masikini watakusema pia ukiwa tajiri watakusema tu ni bora usemwe ukiwa una pesa,maana wengine wataona ni jealous tu kwa kuwa umepata.komaa kama miezi sita weka kila siku angalau 2000 na zaidi baada ya miezi6 utakuwa na kama 300000 hivi,baada ya miezi sita anza kuuza mishikaki huko huko ulipokuwa unauza hayo maji maana unajulikana nakuhakikishia baada ya mwaka utakuja hapo kutushukuruHabari zenu jamani mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 26 nimemaliza chuo cha Dar es salaam mwaka jana. See saizi nipo apa Dar es salaam Tandika nakaa na kaka angu ndoananipiga jeki nakaa kwake akienda kazini na mke wake wananiachia buku tu la msosi usiku wakirudi shemeji anapika msosi tunaufinya.
Oooh skanka dah aisee ila me inaniboa uvutaji wake unatakiwa uwe na ki lighter maana inazima zima pamoja na kuweka kaliAtafute kitu pure[emoji205][emoji116]
View attachment 1970932
Hehehehe eti mimi bado mdogo[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Uzuri mm bado mdogo so mambo yatakaa Sawa
Sawa mkuu never give up nikipata ntakushtua tu.Hapana mkuu ila kama unamishe please nishtue
Hao siwale watoto wamitaaniSI Bora hata maji ya chupa wenzako wanauza ya kandoro