Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Very sad indeed. Hii inaweza kuwa stori ya kutunga lakini ina ujumbe mzito sana.
Mhitimu wa chuo kikuu anauza maji barabarani, jambo la ajabu sana.
Na wengine wanakudhihaki humu na kushangilia kwamba wacha likome na madigrii yake!
Tumekuwa na jamii ya ajabu sana ambayo inaona ni jambo la kawaida muhitimu wa chuo kikuu kuwa muuza makopo!?
Mhitimu wa chuo kikuu anauza maji barabarani, jambo la ajabu sana.
Na wengine wanakudhihaki humu na kushangilia kwamba wacha likome na madigrii yake!
Tumekuwa na jamii ya ajabu sana ambayo inaona ni jambo la kawaida muhitimu wa chuo kikuu kuwa muuza makopo!?