Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #61
Inalipa kama una fremu asa kichwani ndugu yanguAcha ungese wewe hiyo biashara inalipa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inalipa kama una fremu asa kichwani ndugu yanguAcha ungese wewe hiyo biashara inalipa sana.
Sio tatizo! Ukisema mkubwa hakosei utakufa kwa ujinga wako...Kashanunua maji tatizo
Nina political science and public administrationNyie ndo wale wenye degree za sociology
Kwann sasa umeamua kujitesaNina elimu mkuu ila nimeamua kubeba Zege.
Duuuh hapana labda hotel za kitaliiTafuta Kazi ya ulinzi ndio inaokoa wengi wakati ukisikilizia michongo mingine
Energy sio chakula mkuuleo ukunywe hizo energy ....kila siku 1 caton....utatoboa hata 10 days....then rudi hapa ukiwa emty kabisa
Jikaze mkuu utazoea tuNdio ee mademu sunajua barabarani wakiwa kwenye daladala wanakuona kwenye madirisha
Nishauri nduguUkilala njaa siku mbili aibu zitaisha
Nipo serious msaada tafadhariDah,we ni comedian au
Kauze upate kipato,.........kuna siku shemejio atakwambia leo zamu yako kupumuliwa.....Energy sio chakula mkuu
Tatizo watu wanafikiri degree ni big deal kumbe cha muhimu pesa tu mkuu.Kuna mshkaji ana degree ya education,anauza korosho pale maeneo ya Africana ,barabara ya bagamoyo, na maisha yake yanaenda vizuri tu, sikuhamini siku niliyomuona
Kama Kuna mchongo nishtue mkuuIngia kazini chap unaweza kosa kazi 7yrs utakula Kwa kaka tu???
Political science and public administrationtatizo sio kuwa na Degree je una degree ya nini maana degree nyingine ni majanga tu
Kama Kuna kazi nishtue mkuu kazi nzuriAkachukulie mkopo Kwa mangi hiyo degree ndipo atajua kuwa Hana shule kabisa nyambafu
MmhhKuna mshkaji ana degree ya education,anauza korosho pale maeneo ya Africana ,barabara ya bagamoyo, na maisha yake yanaenda vizuri tu, sikuhamini siku niliyomuona
Political science and public administrationSio tatizo! ukisema mkubwa hakosei utakufa kwa ujinga wako...
Alafa unesomea nini chuo kikuuu