Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Very sad indeed. Hii inaweza kuwa stori ya kutunga lakini ina ujumbe mzito sana.

Mhitimu wa chuo kikuu anauza maji barabarani, jambo la ajabu sana.

Na wengine wanakudhihaki humu na kushangilia kwamba wacha likome na madigrii yake!

Tumekuwa na jamii ya ajabu sana ambayo inaona ni jambo la kawaida muhitimu wa chuo kikuu kuwa muuza makopo!?
 
Kazi ya juani sijawahi fanya afu macho yangu kwenye jua yanauma sana
 
Political science and public administration
Daaah mzee ulifanya field?
Rudi hapo uombe internship

Mm nakuelewa,mm mwenyewe mwaka juzi nilikua nauza nguo k/koo elimu yangu ilinifanya niskie aibu ila baadae nikazoea nilipiga kaz kama miezi 6 hadi nikapata internship mahali
Kaza buti mkuu,you have to walk smart walk fast
Miaka 26 sio kijana mdogo,angalie wenzetu wa ulaya mwenye miaka iyo amesha vuka challenge za namna iyo

Huu ni wakati wa miradi mingi kufunguliwa kwenye NGOs so chakalika mkuu

Tengeneza CV zako weka kwenye bag ukimuuzia mtu maji kwenye private car mpe na cv yako,Mungu ni mwema sana.

#hatammbadojobless ila nimevuka hatua hiyo.
 
Asante sana mkuu mungu akubariki
 
Kama huko Kuna kazi nzuri nishtue mkuu
 
elimu yake inamsaidia nini,nyie ndo wale wazee mtaani tunaopewaga story huyu mzee kasoma sana ila anakunywa gongoo tu sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…