Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Nina miaka 26 tuHehehehe eti mimi bado mdogo[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Waafrika kwa kupenda utoto
jifungie ndani na degree yako hawatakuona kamwe au vipiNdio ee mademu sunajua barabarani wakiwa kwenye daladala wanakuona kwenye madirisha
Upo vizuri umeutambua mzigo mapema👍Oooh skanka dah aisee ila me inaniboa uvutaji wake unatakiwa uwe na ki lighter maana inazima zima pamoja na kuweka kali
Kazi ya juani sijawahi fanya afu macho yangu kwenye jua yanauma sanahivi elimu ya sasa hivi kweli inawajenga vijana wetu au inawapoteza kabisa,kwa akila yako ya chuo unaona uwezi kuuza maji,sasa wewe endelea kujiona una degree na utabaki kula iyo degree uliyonayo,sasa hivi usomi ili upate kazi unasoma ili upanue ubongo ebu weka degree pembeni na ikiwezekana hata hivyo vyeti kusanya fungia kabatini,chukua hayo maji na hizo energy anza kuuza bila aibu,hao unaowaonea aibu ni watu kama wewe ukiwa masikini watakusema pia ukiwa tajiri watakusema tu ni bora usemwe ukiwa una pesa,maana wengine wataona ni jealous tu kwa kuwa umepata.komaa kama miezi sita weka kila siku angalau 2000 na zaidi baada ya miezi6 utakuwa na kama 300000 hivi,baada ya miezi sita anza kuuza mishikaki huko huko ulipokuwa unauza hayo maji maana unajulikana nakuhakikishia baada ya mwaka utakuja hapo kutushukuru
hahaha miaka 26 tena unaelimu ya chuo bado akili haijakomaa tuNina miaka 26 tu
vaa kofia vaa miwaniKazi ya juani sijawahi fanya afu macho yangu kwenye jua yanauma sana
Usiseme hivyo kikwete kasoma kozi kama yakwanguTz kuna kozi uchwara nyingi bora zifutwe tu
Daaah mzee ulifanya field?Political science and public administration
Tunauziwa gram 2 2400...Bei elekezi za huko vpUpo vizuri umeutambua mzigo mapema[emoji106]
huyu anazingua tu akili bado changaVp nikikutana natuliosoma nao
Asante sana mkuu mungu akubarikiPole Kwa uliyopitia ndugu Yangu lakini ifike mahali usimame sasa Kama mwanaume Anza kuishi Maisha yako futa kitu kinaitwa aibu ,piga goti muombe Mungu wako endelea kupiga hio mishe huenda ukakutana na mishe nyingine huko barabarani kuliko kushinda home , endelea kupiga hio mishe hata Kama hujazoea jichanganye na wenzio wanaofanya hio kazi utazoea Tu lakini pia elimu Yao usiiache ipite bila kukulipa wakati ukifanya kazi yako endelea kuomba kazi sehemu zingine bila kuchoka , kingine kuwa na nidhamu ya hela ndg Yangu Naamini Mungu atakusaidia Tu Kaka
Kama huko Kuna kazi nzuri nishtue mkuuaibu gani !
kwani unamuangalia nani kwenye maisha yako?
kama aibu kwa kuona watu watakuchukuliaje basi hata kazi yoyote uwezi fanya.
tafuta historia za watu wametokea wapi !
ndio utajiona kuwa kilaza UDSM kwenye maisha ambapo elimu uliyonayo akufungui akili yako.
Ok.basi uza fegi Kama maji unaona sooHao siwale watoto wamitaani
Mkuu nipo serious acha utaniOk.basi uza fegi Kama maji unaona soo
Pambana mkuu Mungu akusaidieAsante sana mkuu mungu akubariki
Nisaidie mku mm kijana mwenzenuhuyu anazingua tu akili bado changa
Duuh shida hapo cha msingi tafuta connection upige kazi mkuuUsiseme hivyo kikwete kasoma kozi kama yakwangu
elimu yake inamsaidia nini,nyie ndo wale wazee mtaani tunaopewaga story huyu mzee kasoma sana ila anakunywa gongoo tu sasa hiviVery sad indeed. Hii inaweza kuwa stori ya kutunga lakini ina ujumbe mzito sana.
Mhitimu wa chuo kikuu anauza maji barabarani, jambo la ajabu sana.
Na wengine wanakudhihaki humu na kushangilia kwamba wacha likome na madigrii yake!
Tumekuwa na jamii ya ajabu sana ambayo inaona ni jambo la kawaida muhitimu wa chuo kikuu kuwa muuza makopo!?