Naona Bunge linapiga chafya

H
HILI NALO MKALIANGALIE
 
Wabunge nao akili hamna na nitawashangaa sana kama hawatakuja na maazimio miongoni mwayo ni kubadili Baadhi ya sheria za adhabu na Kuzuia.

-Serikali kuanzia mwaka Jana wamempa Mkaguzi wa ndani fungu lake ,Sasa isiishie hapo ripoti yake isiishie kwenye management ambako Huwa wanamuhonga na kuomba aondoe Baadhi ya hoja kuhalalisha wizi ambapo mwisho wa siku CAG anakuja kubainisha.

Ripoti ya Internal Auditor iende kwenye Sekretarieti za Mkoa Ili Ofisi ya RC ndio ishughulike na wahusika.

Pili Serikali iwaongezee salary na posho Watumishi wa ngazi ya Halmashauri na Wilayani.Tunajua pesa Huwa haitoshi lakini Wana vimishahara vidogo na hivyo kuingia kwenye ushawishi wa upigaji.

-Sheria ya Rushwa nk iwe na kipengele Cha kufilisi Ili kufidia hasara zilizotokea,kumfunga mtu harafu anakula Bure jela sio sawa.

-Wakurugenzi na maofisa wa Juu wa Halmashauri(Wakuu wote wa Idara) waombe kazi na ziwe za Mikataba.Maofisa wa chini ndio wawe na permanent terms.

-Mwisho ni Aisha tufute ofisi ya DC au ipewe Nguvu na iwezeshwe kusimamia Halmashauri kuliko saiizi hawana hata Mafungi Wala Wataalamu ila ni kama omba omba Sasa huyu atasimamiaje Halmashauri zinazotekeleza miradi na kukusanya mapato?

-Takukuru kazi Yao ni ipi ikiwa yote haya yanatokea? Ofisi ya DSO inafanya kazi zipi ikiwa haya yanatokea?
 
Walishaambiwa wajipatie maokoto kulingana na urefu wa kamba zao
View attachment 2803075
Nyie ndio mnapotosha Kauli ya Rais,sijaelewa Huwa mnatafsiri mnavyotaka au mnatafsiri Kwa mantiki yenyewe ya Kauli?

Kwamba wewe Ile methali ya mbuzi ale kulingana na urefu wa kamba yake unailewaje? Kimsingi Rais Yuko sahihi Kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake ukikata kamba au kuvuka mipaka ndio unakuwa mwizi Kwa kuingia sehemu isiyokuhusu.

Nasisitiza Kila mtu akila.kulingana na urefu wa kamba yake wizi utatoka wapi?
 
Kila mtu anajua CCM yote ni mijizi. Hapo yameambizana kukemeana.huo ni ukoo wa panya book
 
Hili nalo inabidi TUKALITIZAME.
 
Kama kweli wako serious basi tuone hatua zikichukuliwa dhidi ya hao majizi. Otherwise ni maigizo yale yale tuliyozoea.
 
Watatulia baada ya muda...
 
Ukifuatilia siyo wana wa system walioamsha hiyo kitu..Wazee wa mifumo wao huwa ni kimya na kupiga meza kimya kimya
 
CCM Lao moja tu, mwizi huwa hakemewi, mwizi, anauliwa, anafungwa, anafukuzwa kazi, tatizo la nchi hii, hili tabaka tawala, kuanzia ikulu(raisi), wizarani, halmashauri, local government, kote huko ni wezi watupu!
Hakuna wa kumkamata mwingine,
 
Leo umeongea kma mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…