NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Inasemekana namungo fc ni kigingi kinachozuia mtiririko wa asali kuwafikia wazuri hawafi!Kwa hiyo wamekubaliana ili kumtoa kafara mtu fulani wapate uhalali wa kumweka mtu wao wanayemtaka?! Anyway, kwa ile report ya CAG, hakuna namna serikali nzima ilipaswa kujiudhuru ila kwa sababu tuko kwenye shithole countries, business will be as usual!
Kwa kweli hata mimi mleta uzi nimeshangaa sanaLeo umeongea kma mwanadamu
Ngoja tuoneInasemekana namungo fc ni kigingi kinachozuia mtiririko wa asali kuwafikia wazuri hawafi!
Nasikia eti hukatas kusaini Baadhi ya Bajeti za ofisi yake zikiletwa kwa kigezo eti "mnawaibia wananchi"
Konda boy eti ana baraka zote za kulivuruga Baraza Ili asiekua na madhara ashike kwa namungo fc!
Ngoja tuone hatma!
Kama unataka maigizo tune Azam 3. Hiyo channel ya Bunge ina waigizaji wa kiwango cha chini Sana.Kwa kweli pasipo kupoteza muda, ninayo furaha ya dhati toka moyoni kwa hiki ambacho nimekiona kwa bunge la leo!
Yaani ni kama mgonjwa mahututi ambaye ghafla ameanza kupiga chafya!
Chafya ni dalili ya uhai.
Hongereni sana wabunge wote mliohusika kukemea vibaka walioko kwenye wizara mbalimbali ambao kazi yao ni kuiba na kuiba na kuiba tena!
Rais Samia Suluhu Hassan aliwaambia wajitathmini, lakini hadi sasa hatujaona mtendaji yeyote serikalini akijihudhuru au hata kuomba radhi tu kwa kile kilichotokea!
Wabunge naomba msiishie tu kutufurahisha wananchi wenu kwa maneno mazito mazito mnayoyasema huko, bali hakikisheni wahalifu wote wanachukuliwa hatua ili kuinusuru nchi yetu na hawa mchwa wanaokula kila kitu hadi vyuma wao wanakula tu!
Naunga mkono hojaHilo bunge ni furahisha genge, kama kweli wanajiamini wafanye azimio la bunge kuwatoa baadhi ya mawaziri. Kinyume na hapo ni maigizo kama kawaida.
Hawako SeriousKama kweli wako serious basi tuone hatua zikichukuliwa dhidi ya hao majizi. Otherwise ni maigizo yale yale tuliyozoea.
Wamepania kumuangusha namba mpja wao hivyo drama kila konaNasikia kwenye vikao vyao huko huwa wanapewa bahasha kubwa kubwa ili kuwaziba midomo!
usanii tu hamna kitu hapo. wale wabunge ni wa CCM na serikali ni ya CCMKwa kweli pasipo kupoteza muda, ninayo furaha ya dhati toka moyoni kwa hiki ambacho nimekiona kwa bunge la leo!
Yaani ni kama mgonjwa mahututi ambaye ghafla ameanza kupiga chafya!
Chafya ni dalili ya uhai.
Hongereni sana wabunge wote mliohusika kukemea vibaka walioko kwenye wizara mbalimbali ambao kazi yao ni kuiba na kuiba na kuiba tena!
Rais Samia Suluhu Hassan aliwaambia wajitathmini, lakini hadi sasa hatujaona mtendaji yeyote serikalini akijihudhuru au hata kuomba radhi tu kwa kile kilichotokea!
Wabunge naomba msiishie tu kutufurahisha wananchi wenu kwa maneno mazito mazito mnayoyasema huko, bali hakikisheni wahalifu wote wanachukuliwa hatua ili kuinusuru nchi yetu na hawa mchwa wanaokula kila kitu hadi vyuma wao wanakula tu!
Wana misemo yao ya kuyaita mamilioni..!! VijisentiMwizi haachi asili yake hata ukimkata mikono ataiba tu
Hili bunge nalo ni la kuliwekea maanani? Hapo kama wanaigiza tu.Hilo bunge ni furahisha genge, kama kweli wanajiamini wafanye azimio la bunge kuwatoa baadhi ya mawaziri. Kinyume na hapo ni maigizo kama kawaida.
Waziri Simbachawene anasema tunalaumiwa wizi lakini ndio tuliojenga miundombinu kuliko awamu zilizopita!Kwa leo angalau wabunge wa sisiyemu wameonesha uhai wao kwa kuikemea mijizi iliyo serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa ambayo imetafuna mabilioni ya fedha za wavuja jasho pasipo aibu.Hebu nendeni mbele zaidi kwa kuishauri serikali liwe jua au mvua hao wezi waende wakanyoe
Wapo waliosema wezi wanyongwe, wengine wakasema wakinyongwa hatujui huko mbinguni watasemehewa, wapewe mashamba walime wajutie wizi! Ni geresha geresha tu huku wakijua wazi wizi wameanza wao kwa kuiba kura, wao wenyewe wezi.Mimi binafsi hao wabunge hawajanifurahisha Kwa sababu Wanalalamika badala ya kuchukua hatua na namna ya kuchukua hatua ni kuja na maazimia makali na wamueleze Waziri Mkuu kwamba kama Serikali haitatekeleza maazimio wasipitishe Bajeti ijayo Kwa sababu huu ni ujinga.
Angalia hapo Tabasamu anasema taarifa 3 za CAG hakuna walichofanya.
Ndio maana Kuna haja ya Wapinzani mana awangesha table Azimio la Kuta target wahusika kabisa ila Hawa wanapiga makelele yasiyo na msingi.
Mbaya zaidi mda wa kujadili hiyo taarifa ni mdogo na umewekwa mwezi wa 11 makusudi Ili Serikali ikatafute majibu ya kufunika Kombe ikiwemo kuhonga Baadhi ya Wabunge.
Mwisho mnufaika mkubwa wa wizi ni ccm na hivyo sitarajii chochote Cha maana sana sana wataitana kwenye Kamatia za Vyama vyao huko.
Hawana aibu haoWana misemo yao ya kuyaita mamilioni..!! Vijisenti
Hata Covid 19 nao wana ujasiri wa kukemea ubadhirifu wa mali kweli,ama ni maigizo tu maana walipo wamekuls pesa kiubadhirifu. mkaguzi yuko wapi. mengine tunayo uvunguni mwetu.Hatua nani achukue?
Hivi kweli mbunge anasimama anaongelea wizi wa mabilioni huku akitania tania na wengine kupiga meza na kucheka hapo usitegemee lolote
Hao hao wanaocheka ndio majizi
Kweli majitu yanapata mda wa kucheka
Hivi hayana damu haya
Hao wapo hapo kiwizi tu hawana uhalaliHata Covid 19 nao wana ujasiri wa kukemea ubadhirifu wa mali kweli,ama ni maigizo tu maana walipo wamekuls pesa kiubadhirifu. mkaguzi yuko wapi. mengine tunayo uvunguni mwetu.
Yaani kuna baadhi ya mawaziri unafikiria mara mbili mbili ilikuwaje hadi wakaaminiwa kushika hizo nafasi kwa uwezo huo wa kujenga hoja!Waziri Simbachawene anasema tunalaumiwa wizi lakini ndio tuliojenga miundombinu kuliko awamu zilizopita!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app