Naona Bunge linapiga chafya

Inasemekana namungo fc ni kigingi kinachozuia mtiririko wa asali kuwafikia wazuri hawafi!

Nasikia eti hukatas kusaini Baadhi ya Bajeti za ofisi yake zikiletwa kwa kigezo eti "mnawaibia wananchi"

Konda boy eti ana baraka zote za kulivuruga Baraza Ili asiekua na madhara ashike kwa namungo fc!

Ngoja tuone hatma!
 
Maigizo yale,we ripoti imetoka miezi 6 ishapita leo ndo wanajifanya wana kuumia
 
Ngoja tuone
 
Kama unataka maigizo tune Azam 3. Hiyo channel ya Bunge ina waigizaji wa kiwango cha chini Sana.
 
Hilo bunge ni furahisha genge, kama kweli wanajiamini wafanye azimio la bunge kuwatoa baadhi ya mawaziri. Kinyume na hapo ni maigizo kama kawaida.
Naunga mkono hoja
 
usanii tu hamna kitu hapo. wale wabunge ni wa CCM na serikali ni ya CCM
 
Pia wakati fulani ukiona mgonjwa aliyemahuti, ambaye siku zote mnamlisha chakula na anakula kwa tabu, siku hiyo akidai chakula akala cha kutosha kiasi kwamba hata unayeuguza ukashangaa na kujisikia furaha, angalia sana. Mara nyingi ndio kinakuwa chakula cha mwisho wa uhai wake.
Kwa Bunge hili hizi ni mbwembwe tu, hakuna Bunge hapo.
Bunge linatakiwa litoe azimo. Sio kelele zisizo na tija.
 
Waziri Simbachawene anasema tunalaumiwa wizi lakini ndio tuliojenga miundombinu kuliko awamu zilizopita!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wapo waliosema wezi wanyongwe, wengine wakasema wakinyongwa hatujui huko mbinguni watasemehewa, wapewe mashamba walime wajutie wizi! Ni geresha geresha tu huku wakijua wazi wizi wameanza wao kwa kuiba kura, wao wenyewe wezi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hata Covid 19 nao wana ujasiri wa kukemea ubadhirifu wa mali kweli,ama ni maigizo tu maana walipo wamekuls pesa kiubadhirifu. mkaguzi yuko wapi. mengine tunayo uvunguni mwetu.
 
Hata Covid 19 nao wana ujasiri wa kukemea ubadhirifu wa mali kweli,ama ni maigizo tu maana walipo wamekuls pesa kiubadhirifu. mkaguzi yuko wapi. mengine tunayo uvunguni mwetu.
Hao wapo hapo kiwizi tu hawana uhalali
 
Waziri Simbachawene anasema tunalaumiwa wizi lakini ndio tuliojenga miundombinu kuliko awamu zilizopita!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani kuna baadhi ya mawaziri unafikiria mara mbili mbili ilikuwaje hadi wakaaminiwa kushika hizo nafasi kwa uwezo huo wa kujenga hoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…