Naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba

Naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba

Hivyo vyote vilifanyika tangu wakati wa utawala wa awamu ya 4! Labda kwenye huo ujenzi wa hivyo vituo vya afya visivyo na madawa! Lakini kuanzia barabara na huo umeme wa REA, ni matunda ya utawala wa Mkapa na JK!

Acheni ujinga wenu wa kumtukuza huyo mungu wenu ambaye hajafanikiwa chochote kwa miaka yote 5 zaidi tu ya kuyarudisha nyuma maisha ya Watanzania wengi wakiwemo Wafanyakazi kwa sababu tu ya ubinafsi wake wa kujiamulia mambo mwenyewe as if hii nchi ni mali yake.

Wewe endelea kuuza mikate yako huku ukijivunia kununua kiwanja, na kuona hayo kwako ni mafanikio. Hakuna namna. Ila usitulazimishe na sisi tumuamini, kumtukuza na kumsujudia shetani badala ya Mungu wetu aliye hai.
Mbumbumbu, mpaka awamu ya 4 inatoka REA ilipeleka umeme vijiji 1000 tu tena kwa kupapasa. Awamu ya 5 vijiji 8000 vipya na umesambazwa kila kona ya kijiji
 
Mkuu tusisahau daraja la busisi feri to kigongo feri ujenzi umeanza mungu atupe Nini!. Dah!, nakupenda nchi yangu nampenda Rais wangu
Tatizo Magu kafanya mambo mengi mpaka unashindwa uwaambie lipi uache lipi hawa vyuku wa DJ Gambe
 
Mbumbumbu, mpaka awamu ya 4 inatoka REA ilipeleka umeme vijiji 1000 tu tena kwa kupapasa. Awamu ya 5 vijiji 8000 vipya na umesambazwa kila kona ya kijiji

So what! Si muwe mnamshukuru basi hata huyo JK kwa kuja na hilo wazo! Unaweza ukaniambia ndani ya awamu hii, kuna mradi wowote ambao hamjaurithi kutoka kwa watangulizi wenu?

Kila kitu kilishafanywa kitambo! sasa iweje mnataka kumgeuza kila mtu awe msukule kama mlivyo nyinyi. Hela zinazotumika ni kodi zetu! sasa iweje utukufu apewe mtu ambaye hata kodi tu kwenye mshahara wake hakatwi badala ya sisi walipa kodi?

Au kwa sababu na wewe unatoa hako ka elfu 20 kako basi unajiona una faida ndani ya nchi hii, kumbe ni takataka tu.
 
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.

jingalao
Kumbe ni wewe....

Hili wazo lako umelitupilia mbali kabisa na mkaamua kuchapisha fomu moja tu.
Balozi Ombeni Sefue anafaa kuwa Rais 2020
 
😂😂, tutakuwa wajinga kuongozwa na walevi kama mbowe. Tena watasikia tu kuwa Tz kuna ikulu 😁
Mbowe sio mlevi futa kauli yako, Mbowe ni kamanda mpambanaji
DJ.jpeg
 
So what! Si muwe mnamshukuru basi hata huyo JK kwa kuja na hilo wazo! Unaweza ukaniambia ndani ya awamu hii, kuna mradi wowote ambao hamjaurithi kutoka kwa watangulizi wenu?

Kila kitu kilishafanywa kitambo! sasa iweje mnataka kumgeuza kila mtu awe msukule kama mlivyo nyinyi. Hela zinazotumika ni kodi zetu! sasa iweje utukufu apewe mtu ambaye hata kodi tu kwenye mshahara wake hakatwi badala ya sisi walipa kodi?

Au kwa sababu na wewe unatoa hako ka elfu 20 kako basi unajiona una faida ndani ya nchi hii, kumbe ni takataka tu.
Kitugani walifanya kudadadeki? Awamu hii imewavuruga sana hamna hata hoja za maana. Kanywe konyagi ukitosheka kapande treni ukapumzike Hai
 
Mbowe sio mlevi futa kauli yako, Mbowe ni kamanda mpambanaji
View attachment 1499853
Mpambanaji!?, mlevi huyo jamaa Hadi mwanae karithi kutoka kwa dingi!. Anakunywa pombe zake Hadi ana lose control anaanguka anasingizia kakanyagwa na watu wasiojulikana halafu na nyinyi followers wake mnaamini 😂😂, haya kwenu.
 
Mpambanaji!?, mlevi huyo jamaa Hadi mwanae karithi kutoka kwa dingi!. Anakunywa pombe zake Hadi ana lose control anaanguka anasingizia kakanyagwa na watu wasiojulikana halafu na nyinyi followers wake mnaamini [emoji23][emoji23], haya kwenu.
Achana na kamanda wetu aka DJ Gambe mzee wa Faru John.
 
Huyu ndiye Magufuli
 

Attachments

  • Huyu ndo Kiboko cha Rais Magufuli 2020 ( 360 X 640 ).mp4
    51.1 MB
Mgombea wako,, amenyima watumishi stahiki Zao Kwa miaka 5!.,Hana jipya tofauti na kujitangaza full of kiki kama Meja kunta,,,Waanzilishi wake walifanya kibao Ila hawakujimwambafai kama yeye!... Vikiisha vya kuzindua na uteuzi WA kuapisha live,,aanze kuzindua vyoo vya raia,kwenye ule Mradi WA Nyumba ni choo
 
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.

jingalao

Vijana wa Lumumba hawakuwa watu wa ndio bwana kama wewe.
Walikuwa vijana waliokuwa wanajipambanua kwa hoja wakijipima na viongozi wa TANU na baadae CCM kama akina Mwl.Nyerere,Mzee Msekwa,Kingunge Ngombale Mwiru.Mzee Rashid Mfaume Kawawa.
Kuna wakati nguvu ya hoja ya vijana hao,walijikuta matatani,lakini maisha yalisonga.
Vijana hao lulu,simba wa vita ni kama
1.Osward Chimoto
2.Jenerali Ulimwengu
3.Ruth Lamek
4.Mwambungu
5.Kinyondo.
6.Prince Bagenda
7.Bi Titi Mohammed
8.Kanali Kinana.
 
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.

jingalao
Weka namba ya simu tutakupataje kirahisi
 
Mgombea wako,, amenyima watumishi stahiki Zao Kwa miaka 5!.,Hana jipya tofauti na kujitangaza full of kiki kama Meja kunta,,,Waanzilishi wake walifanya kibao Ila hawakujimwambafai kama yeye!... Vikiisha vya kuzindua na uteuzi WA kuapisha live,,aanze kuzindua vyoo vya raia,kwenye ule Mradi WA Nyumba ni choo
Kuna mtumishi wa UMMA hajalipwa mshahara wake?
 
Vijana wa Lumumba hawakuwa watu wa ndio bwana kama wewe.
Walikuwa vijana waliokuwa wanajipambanua kwa hoja wakijipima na viongozi wa TANU na baadae CCM kama akina Mwl.Nyerere,Mzee Msekwa,Kingunge Ngombale Mwiru.Mzee Rashid Mfaume Kawawa.
Kuna wakati nguvu ya hoja ya vijana hao,walijikuta matatani,lakini maisha yalisonga.
Vijana hao lulu,simba wa vita ni kama
1.Osward Chimoto
2.Jenerali Ulimwengu
3.Ruth Lamek
4.Mwambungu
5.Kinyondo.
6.Prince Bagenda
7.Bi Titi Mohammed
8.Kanali Kinana.
Mbona unaniorodheshea wazee?
 
Back
Top Bottom