Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Unatumia muda wako mwingi, pesa zako hata mali zako kwa mwanamke ukijua atakuja kuwa mkeo.
Anaumwa, unatoa hela ya matibabu, vocha, chakula na mahitaji mengine ila mwisho wa siku anakusaliti na kuolewa na mtu mwingine.
Kingine, wanawake wamejaa tamaa sana ya mali siku hizi, ukiamuacha, unaweza kukuta amekuibia. Hata kuhamisha vitu vyako
Tafuta hela na limbikiza mali ili ikusaidie uzeeni. Mwanamke awe km ziada tu
 
Yaani hawa ni kugegeda tuu.
Sasa kademu first year kanaomba simu ya laki 9 umnunulie kweli sii balaaa
 
Dawa ni kuwa badboy... hawa wanajua nimeoa kabisa ila hawachomoi, the way navyowhandle, chatting, kujitoa akili ndiyo kunawavutia, yani sieleweki, wananiona kama jamaa flani hivi muhuni asiyejali sana.....

Jifanye hujitoi akili uone😀😀
 
Wenyewe wanasema wapo na standard zao, if you can't afford her better not approach her, noma sana wakuu.

Hii attitude ya vijana nimeikubali, don't be weak over a lady, unajitafuta huku binti nae yupo kwa ajili ya kupukutisha mfuko wako, kesho ukipigika yupo mtaa wa saba anakula maokoto ya jamaa mwingine.

Heri kununua, heri friends with benefits kuliko bf/gf approach.
 
Kabisa mkuu
 
Kuna msemo wa jamii fulani kuwa: 'nguvu ya mamba iko katika maji nguvu ya mwanaume iko mfukoni'. Kama hamna hela mtathubutu kumualika mwanamke mtoke out! Ndio maana mnaishia kusifia tu yule mzuri ana shape. Siku mkiwa na hela mtawatoa out tu.
 
Utakufa itapita miaka b 10 hakuna hicho kitu kinachoitwa kiama kitatokea.
Siku hiyo Kutakuwa na makundi mawili, moja likuwa ni kundi la peponi( uzima) hili ndilo kundi litakalofuzu( tumuombe sana Mungu tuwe kwenye kundi hili. Amiin

Kundi la pili litakuwa ni kundi la motoni,

Sifa ya kundi ni

_HALIAMINI UWEPO WA MUNGU,
_HALIAMINI UWEPO WA KIAMA
_HALIAMINI UWEPO WA MOTO WALA PEPO
_HALIAMINI UWEPO WA MALAIKA
_HALIAMINI UWEPO WA VITABU VITAKATIFU VYA MUNGU
WAO HUTUMIA AKILI ZAO TU WANAAMINI AKILI ZAO, WANASAHAU HATA HIZO AKILI WAMEPEWA NA MUNGU

KUNDI HILI LITAPELEKWA MOTONI ,

kabla halijaingizwa kweye moto litasimamishwa na malaika wa motoni kisha wataulizwa kwanza kuwa

"HIVI NYIE HUKO DUNIANI HAMKUAMBIWA HABARI HII YA MOTO WA JAHANAM?"

watajibu tuliambiwa ila tulikaidi tu sisi wenyewe kwa ujinga wetu,

Wataambiwa ingieni sasa muonje huo moto kwa yale mlioyakanusha huko duniani, (Source: QURAAN)

SIFA ZA MOTO WA JEHANAM

Una rangi nyeusi, ueusi wake umepitia hatua tatu,
1. Ulianza kwenye rangi nyekundu
2. Ukaongezwa joto ukawa rangi ya bluu( huu ni kama ule wa gesi)
3.ukaongezwa tena ukawa mweusi,
Ambao huo moto unangoja watu wenye kupuuza maagizo ya Mungu,

Kuni za zake ni mawe, maana kwa joto lake hata jiwe litayeyuka kirahisi tu, na ngozi kila inapoisha inajirudia tena ili kuendelea kuteseka

Moto huu ni moto wa milele, (endless ) FIKIRIA SANA JUU YA HILI EWE MWANADAMU MKAIDI

Umri wa nwanadam ni miaka michache sana ni 60 tu, baada ya hapo nguvu zinakuwa zimeisha na happ kinachofata ni umauti na UTAENDA KUSHUHUDIA LIVE juu ya ujinga unaoukanusha sasa,

Muda sio mrefu utakufa na utaenda kushuhudia mwenyewe,

Usibishe maana haya utayakuta tu HAKUNA SHAKA JUU YA HILI. Ni Suala la Muda tu

NA adhabu itaanza mara tu roho yako itakapo anza kutolewa, pale pale unapokata roho anakuja malaika wa mauti kukutoa roho kwa uchungu hadi mkojo na kinyesi kinatoka kwa wakati mmoja, muda si mrefu utayaona live ukiwa na madhambi hasa kwa wanaokataa kufuata Sheria zake,

Ila kwa aliye amini atakatenda mema roho yake itatolewa taratibu na atakwepana na adhabu kama hizi,

TUMUOMBE MUNGU ATUJAALIE MWISHO MWEMA,

Tusife ila tuwe tume tubu dhambi zetu ili tupate salama kwa Mungu

Amiin
 
Kampeni yetu ya " KATAA NDOA" na "KATAA SINGLE MAZA" ina anza kueleweka vyema na vijana wa kiume.
MUNGU ameumba Dunia na vilivyomo, akaumba malaika akamuumba na mwanadamu

Alipomuumba mwanadamu akaumba jinsia ya kike na kiume kwa kila chenye uhai,

Ili uhai ukamilike na uendelee inahitajika jike na dume kwenye 99%ya viumbe,

Unapo kataa ndoa maana yake unapingana na sheria ya asili aliyeiumba Mungu.na unapokataa ndoa maana yake wanadamu wataacha kuzaliana na kizazi kitakoma hapo,

Umesema hapo vijana wanaelewa kampeni yako ya kataa ndoa, FURAHIA KWA SASA, ILA MUDA SI MREFU UTAENDA KUKUTANA NA MUNGU NA KAMOENI YAKO UANDAE MAJIBU , na ukikosa majibu maana yake utakutana na adhabu kali sana ya moto wa jahanam,

Endelea ku promote ujinga wako alafu mauti yakukute na kampeni yako ya kijinga
 
Mtume paul alisema siyo lazma kuoa ila kama utashindwa vumilia tamaa za mwili oa.
Usimlazimishe mkuu ni maamuz yake.
 
So akakuji
Ulivyompa makavu akasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…