kelvinvevo
Senior Member
- Sep 12, 2021
- 108
- 375
Ila kuna watu humu wanapiga ngeli.. sijui nini na nn watu wanalalamika kiingereza bwana safi sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwaisa mtu mbad mmoja anatema yai...amechefukwa hatari...Ila kuna watu humu wanapiga ngeli.. sijui nini na nn watu wanalalamika kiingereza bwana safi sana..
Hadi mimMimi kwa wiki naweza kuchukua namba hata kwa Wanawake 3,but nisimtafute hata mmoja.
Duhhh!! wanakosa utamu wa dunia asee!
Mtakufa Siku si zenuu walai kutafuta magonjwa ya rejareja tu!! Hebuu tulieni asee!Wanakosaje Wakati umeambiwa wananunua.
Yaani siku hizi mwanaume kuteswa na mapenzi ni wale Watoto wanaobalehe. Ila akishafika 25 anauwezo wa Kupata elfu mbilimbili mapenzi hayawezi kumtesa
Mtakufa Siku si zenuu walai kutafuta magonjwa ya rejareja tu!! Hebuu tukieni asee!
Umeamua uwashauri sasa... 😆Mtakufa Siku si zenuu walai kutafuta magonjwa ya rejareja tu!! Hebuu tukieni asee!
Umeamua uwashauri sasa... 😆
Eendiwoooooooo sis mambo za kununua sio poa kabisaa sis ☺️Umeamua uwashauri sasa... 😆
[emoji736]️[emoji736]️[emoji736]️[emoji736]️[emoji736]️Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband [emoji1][emoji1]
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wee wake za watu wanatoka na wazee sio tuvijana banaa!!Anashauri Vijana Wakati vijana haohao ambao hawajatulia ndio wanaotoka na Wake za Watu walioamua kuoa na kutulia.😀😀
Vijana wengi wanatoka na Wake za Watu ndio maana wanaogopa kuingia Huko ndoani, na kutongoza tongoza
Taa... Taa.... Tag ubavuuu..... Cc Smart911Dohhh itakua hatari sana hii sa kwa ambao hawana wanaune itakujae sasa??[emoji848]
Wee wake za watu wanatoka na wazee sio tuvijana banaa!!
Nilishawaonya kuna super gono...waache wapuputike kengele zao...Eendiwoooooooo sis mambo za kununua sio poa kabisaa sis ☺️