mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Sijui jamaa kala maharage ya wapo huyu[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh mbona wenye Hela ndio hatuna muda kabisa wa kutongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui jamaa kala maharage ya wapo huyu[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh mbona wenye Hela ndio hatuna muda kabisa wa kutongoza
Humo mizinga utaisikia bombani tu, hapo ni kula kuku pamoja na kupelekeana moto tu.Yaan akiniambia ana Safari nyingi za ndege hapo najenga kiota kuna raha yake kula mtoto wa Kigogo toka familia ya kishua
HahahahahaNi Zaidi ya Hatari hii imagine huna mwanamke na waliopo huwatongozi ! Balaaa
Bonge la hoja. Sasa mkuu tunachomoka vipi hapo?Tatizo ukimtongoza Mwanamke unajitengenezea mazingira magumu ya kumpata[emoji4]
Anajikuta ni mrembo kweli ila anatamani kila mtu azuzuke na huo urembo wake. Wahuni wamekula mikausho mikali basi dah kiroho kimemuuma.Huyu manzi wala siyo mkubwa kivileee, sema tu inaonesha ana zile tabiza za kupenda Entitlement, worship me, put me on a pedestal. Atakuwa anatoka Kaskazini huyu, lazima. Mamanzi wengi wa Kaskazini hizi ndiyo pigo zao.
Na ukishindwa kudinda utamkuta jioni anachangia hoja kwenye group lao kuwa siku hizi wanaume hawana nguvu kabisaKuna siku nikikutana na mbususu inatema nitashindwa kudinda aisee,
😂😂😂 Ndio hivyo yaanHumo mizinga utaisikia bombani tu, hapo ni kula kuku pamoja na kupelekeana moto tu.
Sasa uta deal naye vipi ilhali wewe Mzee Matola una 40+ hapo ulipo? Uta deal vipi na mjukuu wako? Hao waachie vijana wa 20+ wajisevie si eti eeh?2013 sawasawa na 13 years old, ambayo yuko standard six, usijitowe akili kiasi hicho.
Mimi hata mtoto wa secondary school siwezi kudeal naye.
Accumen Mo acha kuzusha haikua hivyo in a full Story
View: https://twitter.com/iamBandanaJr/status/1699710817300582563?t=rY41z9iRiuaGHzQbIMepnw&s=19
Uko sahihi mkuu.Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband 😄😄
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care 😄😄😄😄
Haha tunakosa utamu upiiDuhhh!! wanakosa utamu wa dunia asee!