G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Kuna uwezekano mkubwa mpo kwenye mafunzo ya UpadirishoKuna ambao hatuna wanawake ,umejiuliza inakuaje pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uwezekano mkubwa mpo kwenye mafunzo ya UpadirishoKuna ambao hatuna wanawake ,umejiuliza inakuaje pia?
Hapa lazma Ma Veteran watoke mbio tu. Wanaoingiaga hii mikenge ni wale maboya tu.Unamtongoza leo, kesho anakulalamikia simu yake imepasuka imevujia kioo, gesi imekata na anatumia mtungi mkubwa hujakaa sawa kodi 100k kwa mwezi inakaribia kuisha na mwenye nyumba wake anachukua ya miesi sita tu, hajui atalipaje, ghafla atakuambia mama yake mgonjwa na yeye ndio dada mkubwa wa familia, hujakaa sawa ATM kadi yake imemezwa na hajui afanyeje...
Yani binti anakua tegemezi kwako kwa kila kitu, ukiangalia kitu pekee anachoweza ku-offer ni mbususu ambayo hata pale riverside zinapatikana bwerere. Yani hata mawazo ya maendeleo hakupi zaidi ya stress na matatizo yasiyokwisha.
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Mademu wakali ndio rahisi kuwapata kuliko vibungo ambao wengi tunakomaa nao tukidhani hawatakuwa na changamoto sana.Dah halafu yule demu mwenyewe wa twitter ni bonge la pisi! Hatari hatari! Halafu ana swagger!..... Mnyamwez niliishiwa pozi kwa ile clip mzee dah!
Tuombege namba tusiogope
Wewe dada ulietaka kunipa namba kwenye Gari Jana nikakuchomolea pole sana Maisha ya sasa hali yangu ilivyokua tafu sana sina nafasi ya kumuhudumia mtoto wa mtu kwa kipindi hivi mizinga mizinga mibomu mibomu ile daah hapana wewe pole tu kawalipue wengine endeleeni kutuuzia tu ili tule kihalali sio kutupiga mizingaInasikitisha
Pointless... uliwapima wote ukajua si marijali?Hili nikubaliane na wewe lazima nimake two assumption :
1. Idadi ya wanaosimamisha imashuka.
2. Mashonga wamaongezeka.
Kwenye dunia ya marijali mtongozo hauwezi kuisha.
Sasa hivi siruki na Mwanamke ambae hata siti za ndege hajui zinaonekanajeMademu wakali ndio rahisi kuwapata kuliko vibungo ambao wengi tunakomaa nao tukidhani hawatakuwa na changamoto sana.
You need balls kumface demu mrembo. Sio kila mwanaume anaweza
UongooooKabisa mkuu uanze kuhudumia mtu aisee.hali ya maish ngumu ila wanaume wengi wananunua malaya wengi atuna uwezo wakumilik pisi.
Kwan uongo nduguzangun?
sahz ni kuomba mechiHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Your game is on heights bro. Hongera sana for lifting your game. Mi condition kubwa awe "smart" and "Independent" akiwa na hivi vigezo im in for it.Sasa hivi siruki na Mwanamke ambae hata siti za ndege hajui zinaonekanaje
Mkuu unawapata vipi watoto wa kishua? Unaweza kujibu hili?Bora niendelee kuruka na hawa hawa watoto wa kishua tu sisikii makelele ya Marejesho sijui Michezo kufanya nini
Pointless... uliwapima wote ukajua si marijali?
Pigo zipi hizo mkuu?Huyu manzi wala siyo mkubwa kivileee, sema tu inaonesha ana zile tabiza za kupenda Entitlement, worship me, put me on a pedestal. Atakuwa anatoka Kaskazini huyu, lazima. Mamanzi wengi wa Kaskazini hizi ndiyo pigo zao.
🤣 Uyo ni demu wetu bro unakulaje mwenyewe sasa.Zamani ukitongoza demu ilikuwa proccess ndefu kumpata na ukimpata una asilimia kubwa akatulia na wewe asikucheat na hata vizinga haikuwa sana kama sasa
Ila siku hizi ukitongoza demu tu kabla hata hajakujibu anaanza kukupa shida zake na kuomba hela ya kusuka, kodi, hela ya gesi, hela ya marejesho, hela ya mchezo nk...halafu hata ukimpa kila anachotaka bado hakuna guarantee kwamba atatulia na wewe ila masela wataendelea kumtomba kama kawaida
Huenda mambo yanaanza kuumana.Maandiko yanaanza kutimia
Isaya 4:1
Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”
Yaan akiniambia ana Safari nyingi za ndege hapo najenga kiota kuna raha yake kula mtoto wa Kigogo toka familia ya kishuaYour game is on heights bro. Hongera sana for lifting your game. Mi condition kubwa awe "smart" and "Independent" akiwa na hivi vigezo im in for it.
Ni Zaidi ya Hatari hii imagine huna mwanamke na waliopo huwatongozi ! BalaaaKuna ambao hatuna wanawake ,umejiuliza inakuaje pia?