Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Sahihi,shida wakitongozwa wanataka hela afu miyeyusho ni mingi
 
Tatizo ni mmeshazoea kuona vilivyotakiwa viwe ndani Sasa vipo wazi...
Tatizo kubwa ni utu wa mtu umekuwa ni pesa, ndio maana mtu anaona isiwe tabu kila mtu abaki na chake.

Wanawake reality wanawake wengi sana wanauza utamu wakiwemo mpaka wana ndoa wanauziana utamu ila katika style tofauti, watu wengi wa nadhani wauza K Ni wale tu wanaojipanga barabarani na mitandaoni ndio wauza K, nope mwanamke yeyote yule ambayo pesa ndio anawaungaunisha basi muuza K tu kwa style ya kujificha lakini mwanaume yeyote mwenyewe pesa akimtaka Ni lazima amvuwe chupi.

Zamani ilikuwa kama demu akuzimii hata umuingie kwa swaga gani akuvulii chupi na wala hupokei Zawadi yoyote utakayompa kumlainisha, yani akikaza amekaza.

Wanawake ambao wako really Ni wachache sana hao ndio wako tayari kumsapoti mwanaume hata kwa resources zake, kwa Sababu kinachowaunganisha Ni really love na siyo chuna buzi.
 
Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!

Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband 😄😄

Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care 😄😄😄😄
Kweli bwana...maradhi hazina kwanini ninunue shangingi🤓🤓🤓 alisikika bwana mmoja kutoka safari ya mbali.....
 
IMG_20230907_145106.jpg
 
Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!

Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband 😄😄

Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care 😄😄😄😄
Siku hizi kuna Prestige margarine, blueband inasubiri.
 
Back
Top Bottom