RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Vicoba vinafanya mademu wengi wauze K ,Kuna mademu wakikosa marejesho wanauza KOgapa hio kitu inaitwa Mchezo sijui Marejesho sijui ndugu yake na Vicoba na Vikundi vya Kufa na Kuzikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vicoba vinafanya mademu wengi wauze K ,Kuna mademu wakikosa marejesho wanauza KOgapa hio kitu inaitwa Mchezo sijui Marejesho sijui ndugu yake na Vicoba na Vikundi vya Kufa na Kuzikana
Wakat kwenye dating game wapo strong kuliko sisi menUnatakiwa kutengeneza sumaku tu ambayo itamnasa na sio kutumia nguvu nyingi,
Vicoba vinafanya mademu wengi wauze K ,Kuna mademu wakikosa marejesho wanauza K
Kbsa mkuu.Kweli Aisee, neno linakuponza[emoji28]
😁😁Hakika, ukilinganisha thamani ya unachokilipia hakuna ulinganifu
Prophet Suluhu Hassancha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100
🤣🤣🤣🤣Sasa chief we ukishoka kidogo unaambiwa uko na bei gan mfukoni we huo mda wakutongoza kujipa shida utakuepo unadhani saiv single gathering tunabaki na usimbeziHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Dah! Umeandika kikauzuu mno yaniKuna level ukifika mzee unakuwa kavu kabisa yaani huna time ,unakuta maisha yamekuchapa na usalitiwa kinoma unaona kawaida tu ..
Unaona sio tamu wala nn bora uachane na wanawake.
Tangu ni date pesa ninapendeeeeza na wanangu mahome boyFor sure even me niko bize kusaka doo so mademu na vijianamke vishenzi huwa naviona kama washenzi tuu kwa karne hii nikutongoze una nini hasa
Mademu wamezid kujishaua Mzee na Sasa hiv wanaume stress hatutakUmeona mbali na ile clip ya mdada alitaka kuombwa namba na jamaa ,sema msela hana time[emoji28].