Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Moja katika dalili za kiama, (siku zamwisho za ulimwengu) kutakuwa na idadi kubwa sana ya wanawake kuliko wanaune,.

Itafika wakati mwanaune mmoja unaweza kuwa na hata wanawake zaidi ya 10 na bado wakabaki wengi tu ambao hawana wanaune,
.na katika mapokezi mengine ni mwanaune mmoja kwa wanawake 50 , hiyo ni rate

Source : prophet Muhammad (rehma na Amani zimshukie)

Kwahiyo usishangae hayo, yatatojea na huu ni nwanzo tu, ndo kwaanza panaanza,
 
Moja katika dalili za kiama, (siku zamwisho za ulimwengu) kutakuwa na idadi kubwa sana ya wanawake kuliko wanaune,.

Itafika wakati mwanaune mmoja unaweza kuwa na hata wanawake zaidi ya 10 na bado wakabaki wengi tu ambao hawana wanaune,
.na katika mapokezi mengine ni mwanaune mmoja kwa wanawake 50 , hiyo ni rate

Source : prophet Muhammad (rehma na Amani zimshukie)

Kwahiyo usishangae hayo, yatatojea na huu ni nwanzo tu, ndo kwaanza panaanza,
Utakufa itapita miaka b 10 hakuna hicho kitu kinachoitwa kiama kitatokea.
 
Sasa hapo tutacomment nini kwa mfano?
Wanaume wamechagua style ya maisha yao na wameona kuwa ni sawa kuishi hivyo.
Zama za leo wanaume wengi wanashindana na wanawake, wanasuka nywele, wanavaa hereni, wanafanya makeup, utakuta mwanaume ananukia marashi ya kike!
Ukichanganya na nyimbo zao za sasa za kulalamika, hizo nguvu za kutongoza watazitoa wapi?

Amini usiamini ila ni wachache sana wanaofanya hizo mambo na ndio mana wewe binafsi kweny family yenu huna kaka anaevaa hereni wala makeups. Ni kikundi kidogo sana ambacho huwez kukitumia kugeneralize wanaume wote
 
Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!

Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband [emoji1][emoji1]

Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wapiga kavu kavu utawajua tu,Jamani ukimwi bado upo condom buku tu.
 
Tatizo ni mmeshazoea kuona vilivyotakiwa viwe ndani Sasa vipo wazi...
Donatila ulilolisema linachangia sana tu, lakini ukiongeza na hili hapa chini, kutongoza kunaisha.

1694063019402.png
 
Kuna binti mmoja nisha toka naye kama Mara 3 hivi,sasa toka mwezi April hatujakutana mwezi uliopita tukupoonana nikamwambia nimemis mambo yetu-akaniambia ni wewe tu hata kesho.Nikamudanganya Mimi sasa hivi sipo vizuri financially basi wewe lipia lodge twende zetu-manzi akasema yani Mimi nitafute hela kwa shida halafu nitumie hela yangu nilipe lodge nikalale na Mwanaume nikamuuliza kwani kuna shida gani ukilipa kwa ajili ya mimi mpenzi wako-akasema that will never happen.

Tokea siku ile nilimpotezea na kum delete kichwani kabisa ,juzi kanipigie ananiomba 200K,nikampa makavu nikamwambia hata Mimi natafuta pesa kwa jasho kama wewe siwezi kutoa hela yangu kwa mwanamke asiye thamini urafiki wetu.

Wanawake viumbe wa ajabu sana,hela yake yeye ina umuhimu,ya Mwanaume ndio anaona haina maana.
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Mtu unamwingia kwa hisia za mapenzi yeye anawaza madeni ya vikoba,songesha, tala na mikopo umiza.

Kila siku unachezea Vizinga vya hovyo hovyo utafikiri we ni chemichemi ya hela.

Ukweli ni kwamba asilimia 99.9 ya wanawake siku hizi hawastahili kupendeka.

Tuwaache wahangaike hivyo hivyo kama panya buku
 
Back
Top Bottom