Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Nina videmu kama 2 vilivyomaliza chuo, najilia tu..

Nina kidemu 1st year, kinaililia daily...

Kuna mwingine 25yrs ananiomba daily nimtafutie mtu...

Kwa kifupi, mtaani vijana wa kiume hawatongozi kabisaaaa, hali ni tetee..

Hapo ni kwa kifupi tu, ila nikileta lists ya vidada vinavyoteseka na u single ni ndefu mnoo
 
Baada ya wanawake kuweka pesa mbele vijana nao wameona hakuna haja tena ya kutongoza na kumiliki demu kama huna mpango wa kuoa,ni telegram tu mzigo hadi geto[emoji28].

Mambo ya bby hela ya gasi,ya kusuka,ya kodi,akiumwa utibie,ya gauni fasheni mpya hii kero yote ya nini wakati maokoto yenyewe bado hayaja kaa vizuri.
 
Mwanamke anataka usawa na mwanaume hasa hawa feminist,nature ya Mwanaume ni mamlaka/utawala,sasa hawa wanawake wa siku hizi atataka ampande kichwani Mwanaume wake,hakuna Mwanaume anayejitambua akakubali hilo,ni bora awe single ili kulinda brand yake ya uanaume.
 
Unamtongoza leo, kesho anakulalamikia simu yake imepasuka imevujia kioo, gesi imekata na anatumia mtungi mkubwa hujakaa sawa kodi 100k kwa mwezi inakaribia kuisha na mwenye nyumba wake anachukua ya miezi sita tu, hajui atalipaje, ghafla atakuambia mama yake mgonjwa na yeye ndio dada mkubwa wa familia, hujakaa sawa ATM kadi yake imemezwa na hajui afanyeje...

Yani binti anakua tegemezi kwako kwa kila kitu, ukiangalia kitu pekee anachoweza ku-offer ni mbususu ambayo hata pale riverside zinapatikana bwerere. Yani hata mawazo ya maendeleo hakupi zaidi ya stress na matatizo yasiyokwisha.
 
Nitongoze kwani ina tv ndani saizi ni mwendo mikausho mikali wanawake hawana shukrani
20230902_223429.jpg
 
Dah kabisaaa,..nikimuomba namb TU demu anatakiwa kujiongeza...nikimpigia tukukutane location akianza TU visingizio picha linaisha apo apo na namb nafuta ...hakuna kubembelezana na wakati nguvu za kiume sasa hivi hatuzitumii ovyo...
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Katika wanaume 10 unaweza kukuta 2 ndiyo kamilifu.

Sasa unategemea ratio ya utongozaji iwe juu wwkati vijana washaharibiwa na wajomba zao?
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.



Hili nikubaliane na wewe lazima nimake two assumption :

1. Idadi ya wanaosimamisha imashuka.
2. Mashonga wamaongezeka.

Kwenye dunia ya marijali mtongozo hauwezi kuisha.
 
Back
Top Bottom