Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Dah halafu yule demu mwenyewe wa twitter ni bonge la pisi! Hatari hatari hatari! Halafu ana swagger!..... Mnyamwez niliishiwa pozi kwa ile clip mzee dah!
Kuna level ukifika mzee unakuwa kavu kabisa yaani huna time ,unakuta maisha yamekuchapa na usalitiwa kinoma unaona kawaida tu ..

Unaona sio tamu wala nn bora uachane na wanawake.
 
Buguruni buku 3 na maji ya kuoga wapelekewa bafuni kwa adabu.
Kama maziwa twanunua dukani,kuna haja gani ya kufuga ling'ombe.?


Mkuu afu3 unapata mpaka maji ya kuoga?????

condom 500
maji ndoo 200
sabuni 100
mafuta kujipaka 100
chumba 600
utelezi 1500
••••••••
3000
••••••
 
Back
Top Bottom