Okay
Ndio alimuuzia kwa sababu ya madeni sio sub scania walio muuzia kataramaSauli ndio alimuuzia?
Dar express kilichomuua ni kutotunza magariKilimanjaro mjanja sana huwa hanunui scania mpya. Ndio maana hata siku moja huwezi kumuona kwenye official page ya scania wakimuita mteja wao. Ama kuona ana bus scania latest series.
Dar express alinunua mpya sana akaona hasara akahamia kwa wachina
Acha uongo, Ally's anatumia Golden Dragon new model. Nionyeshe yutong kama ipo
Tv na siyo video ahahaha mana yako nini mkuuUzuri wa basi ni kuwa na Wi-Fi, choo, viti vinavyotanuka, chaja ya simu, tv(siyo video) na vinywaji(hata bia ikimpendeza mwenye kampuni).
Nimesikia anaanza safari za mbeya tuone kama atatoboa figisu za NFAlly's alipiga fitna ila mashambulizi yamemuelemea kapasuka mapafu
Golden Dragon new model ndio gari za Ally's star. Sijaona Yutong ya mwanza darOkay
MI najua ni Golden Dragron ndio anazo wakati huu ambao Katarama yupo
Nimeskitika sana baada ya kuona kwamba ally's ana yutongYutong?
Na golden dragon ni gari za hovyo sana bora hata yutongGolden Dragon new model ndio gari za Ally's star. Sijaona Yutong ya mwanza dar
Kabisa. Yutong zinavumilia sanaNa golden dragon ni gari za hovyo sana bora hata yutong
Kupiga gia za masafa kijanaIli nini kiwe mkuu
kabisaNa golden dragon ni gari za hovyo sana bora hata yutong
Umesahau na Asia ⭐Na golden dragon ni gari za hovyo sana bora hata yutong
Kwan saahz nini kinazuia mkuu? Au macho yamepoyeza uonefuKupiga gia za masafa kijana
Umri unanisaliti kijana na nimeacha Kazi ya udereva wa masafa takribani miaka 14Kwan saahz nini kinazuia mkuu? Au macho yamepoyeza uonefu
Mwambie huyo alosema YUTONGGolden Dragon new model ndio gari za Ally's star. Sijaona Yutong ya mwanza dar
Aisee, kitamboUmri unanisaliti kijana na nimeacha Kazi ya udereva wa masafa takribani miaka 14
Sio chai boss, mimi pia ishawahi nitokea, nilipigwa mkono Msolwa sikusimama nikapita, nafika karibia na Ruvu ndo wananisimamisha, wanataka nirudi, ilikuwa kipengele kwa kweli. Ikabidi niache gari, nirudi mwenyewe.Chai.