Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
SawaSio chai boss, mimi pia ishawahi nitokea, nilipigwa mkono Msolwa sikusimama nikapita, nafika karibia na Ruvu ndo wananisimamisha, wanataka nirudi, ilikuwa kipengele kwa kweli. Ikabidi niache gari, nirudi mwenyewe.